Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Duh we jamaa huna akiliHuyo amesema mazungumzo, lakini mazungumzo ni iwapo kuna klabu inammiliki mchezaji. Kwa sakata hili, hakukuwa na haja ya mazungumzo kwani hakuna klabu iliyokuwa inammiliki. Kwa ufupi, Feisal alikuwa free agent, na Azam ingezubaa hata Simba ingemsajili
Aiseeee hii ni hatara kwa Fei, unaweza tuwekee hiko kipande tupate uhakika zaidi?Nimefwatilia hili jambo na kuja kugundua watu wengi wanakisema kipengele Cha kua anatakiwa a deposit signing fee na mishahara ya miezi mi 3
But kwa chini yake kuna sehemu pia inamtaka kabla hajafanya Hilo anatakiwa atoe notice ya miezi 6 na hapo ndo panapombana Fei .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna nyongeza hapo CHINI yake weka picha yote
Huyu aloleta kipande nusu akimalizie alone sehemu panapombana FeiAiseeee hii ni hatara kwa Fei, unaweza tuwekee hiko kipande tupate uhakika zaidi?
Kuna nyongeza hapo chini yake na ndo hawamtaki kujiweka Ili kuficha dogo Fei alipoingia mkenge.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna nyongeza hapo CHINI yake weka picha yote
Kama katika mkataba wake kuna kipengele cha release clause, mchezaji anaruhusiwa kufanya mazungumzo na klabu itakayolipa kiasi kilichomo kwenye hiyo clause bila kuhusisha klabu yake. Ila hataruhusiwa kuhama mpaka msimu wa uhamaji unapokuja. Klabu iliyo na release clause inatakiwa kuanza mazungumzo na mchezaji ambae wanaona thamani yake imepanda ili kuongeza kiasi kilichomo na wakati huo huo kumuongezea maslahi yake binafsi. Wasipofanya hivyo, ruksa kwa klabu nyingine kuingia MOU na huyo mchezaji mara watakapolipa lile dau. Na hiyo klabu mpya inaweza kumuuza tena kwa bei ya juu zaidi bila ya klabu ya awali kupata chochote.- ww hujui sheria, hujui Legal principles zinazotumika, kwenye mikataba Kuna kitu kinaitwa Privity to contract, Feisal hawezi kujiondokea tu kienyeji, bila kukaa mezani na Klabu yake Ya Yanga na Club anayotaka kwenda, the undermining principle hapa ni kuwa mchezaji ni wa timu, Ile aliyoingia nayo mkataba tu i.eFeisal salum And Young Africans huwezi kuondoka, na kama mkataba una lugha tata/isiyoeleweka Mkataba huo utatafsiriwa against the Maker ni Sina uhakika kama mkataba ulikuwa haueleweki
Weka iyo nyongeza nione mkuu..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna nyongeza hapo CHINI yake weka picha yote
SimpleTaja sheria zinazotumika kwenye hii issue
Muacheni kijana atengeneze maisha yake, tukumbuke umri unakwenda kama Azam watampa mshahara mara nne ya ule wa Yanga asubiri nini! Maisha yake ni sasa hakuna wakati mwingine!! Ila tu nimshauri Fei kama akipata timu nje itakua vizuri zaidi sio hapa Bongo!!Huyo kilaza kakurupuka na usimba wake.
Tunajua kuwa huyu Mkurugenzi ana maelekezo ya Mwigulu
Formality yenyewe ndio hiyo , hata kama ipo nyingine haithari chochote as long as cost zimelipwaNi kweli, Hiyo clause imempa mchezaji haki ya kuvunja Mkataba, lakini the issue ni kwamba ukitaka kuvunja Mkataba hakuna formality za kufuata ambazo ni za kitaasisi?, i.e kukaa chini na Kuandika barua Kwa Klabu, nk
Kilete hapa , hakuna mkataba usivunjika na issue ya Fei kuondoka ina zaid ya miez mitatu au minne sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna nyongeza hapo CHINI yake weka picha yote
Hapa hakuna mwanasheria, ni kanjanja tu. Hajui hata zinazungumzia nini.
Hee, kumbe bado upo?!Huna hoja za msingi na kinachowauma ni Yanga kuendelea kuongoza ligi na ndio maana mnatetea ujinga kwa hoja nyepesi.
Issue ya Fei kuondoka ina zaid ya miez minne , sio jambl la jana na juzKuna nyongeza hapo chini yake na ndo hawamtaki kujiweka Ili kuficha dogo Fei alipoingia mkenge.
Hana, ila analia tu..Weka chenzake kama kipo
Mkataba hausitishwi kihuni hivyo lazima mwajiri wako wa kwanza umjulisheMkuu, ukisitisha mkataba unakuwa free, hakuna haja ya mazungumzo tena. Sasa kama ni mali ya Yanga siku zote hata baada ya kufanya termination, hicho kipengele kina maana gani hapo?
Viongoz wanatafuta pa kujificha , hakuna kingineMimi sio mwanasheria ila baada ya kuusoma huo mkataba kwenye picha sijaona Feisal alipokosea..