Aliyekuwa Mkurugenzi wa Sheria TFF amaliza utata: Asema Fei Toto amekosea, mkataba hauvunjwi kienyeji vile

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Sheria TFF amaliza utata: Asema Fei Toto amekosea, mkataba hauvunjwi kienyeji vile

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Screenshot_20221225-125914.png
Screenshot_20221225-125958.png
Screenshot_20221225-130237.png
 
Huyo amesema mazungumzo, lakini mazungumzo ni iwapo kuna klabu inammiliki mchezaji. Kwa sakata hili, hakukuwa na haja ya mazungumzo kwani hakuna klabu iliyokuwa inammiliki. Kwa ufupi, Feisal alikuwa free agent, na Azam ingezubaa hata Simba ingemsajili
 
Huyu mkurugenzi wa sheria asiyejua sheria anashangaza, unasema vipi suala la mkataba ni la kukaa pamoja walimalize wakati kuna kipengele kwenye mkataba kilimruhusu mchezaji kuvunja mkataba kama akiweka kiasi fulani cha pesa kwenye akaunti ya klabu?

Zaidi, anaposema mchezaji anapovunja mkataba hakai peke yake, lazima akae na klabu yake, napo anakosea, akumbuke pande zote kwenye mkataba kisheria huwa zipo sawa, hapa asilete ukubwa wa klabu akadhani ndio advantage kwa Yanga SC, hapa Yanga SC walijichanganya wenyewe kuweka kipengele kilichowabana kwenye mkataba.

Pia, klabu inayomhitaji mchezaji sio lazima iandike barua ikimhitaji mchezaji husika, kuna.mazingira yanayolazimisha kufanya hivyo hasa ikiwa mchezaji bado ana mkataba na timu yake, na mkataba wake unambana kwenda timu nyingine bila makubaliano ya timu mbili.

Lakini kwa Fei Toto hali haiko hivyo, yeye habanwi na mkataba kwasababu ameshatimiza takwa la kimkataba lililomtaka anunue sehemu ya mkataba wake kama akitaka kuondoka akiwa huru, huyu mwanasheria anaonekana mchanga halafu amekariri mambo ya usajili, hajui kutofautisha mazingira.
 
Yanga waachane na
Huyo amesema mazungumzo, lakini mazungumzo ni iwapo kuna klabu inammiliki mchezaji. Kwa sakata hili, hakukuwa na haja ya mazungumzo kwani hakuna klabu iliyokuwa inammiliki. Kwa ufupi, Feisal alikuwa free agent, na Azam ingezubaa hata Simba ingemsajili
Acha kukurupuka.
 
Huyu mkurugenzi wa sheria asiyejua sheria anashangaza, unasema vipi suala la mkataba ni la kukaa pamoja walimalize wakati kuna kipengele kwenye mkataba kilimruhusu mchezaji kuvunja mkataba kama akiweka kiasi fulani cha pesa kwenye akaunti ya klabu?
Hicho kipengele kinasomwa peke yake?
 
Hicho kipengele kinasomwa peke yake?
Wewe unataka kisomwe kwa pamoja na kipi kingine?

Lazima mtambue, mahitaji ya kimkataba kati ya mmoja na mwingine huwa tofauti, hayafanani, hivyo msikariri kwa kuchanganya mambo ya jumla kwenye sheria husika, wakati kuna specific issues ambazo zinajitegemea kutokana na makubaliano binafsi ya pande mbili husika zilizosaini mkataba, ukijichanganya hapo kwisha habari yako.
 
Huyo amesema mazungumzo, lakini mazungumzo ni iwapo kuna klabu inammiliki mchezaji. Kwa sakata hili, hakukuwa na haja ya mazungumzo kwani hakuna klabu iliyokuwa inammiliki. Kwa ufupi, Feisal alikuwa free agent, na Azam ingezubaa hata Simba ingemsajili
Du hata picha huoni.

Feisal anao mkataba hai hadi May 2024. Hivyo sio free agent ni mali ya Yanga.

Pili Feisal au Yanga wanayo haki ya kuvunja mkataba. Na utaratibu wa kuvunja ni lazima mdaliane na kufikia muafaka wa kuvunja.

Tatu, timu yeyote inaweza kumnunua mchazaji yeyote ikiwa timu hiyo itafikia makubaliano na timu inayommiliki mchezaji huyo. Kwa mchezaji ambaye mkataba wake umeisha(bado timu inawajibika kutoa taarifa ya nia ya kumchukua)

Mchezaji anayetaka kuvunja mkataba lazima wakubaliane pande zote mbili(fuatilia Ronaldo na Man United hivi karibuni). Klabu yake ikishatangaza wazi wamevunja mkataba na mchezaji baada ya mashauriano. Kama hakukua na timu iliyomuhitaji kabla ya kuvunja mkataba basi mchezaji atahesabika kuwa yupo huru. Lakini bado timu itakayomtaka italazimika kutoa taarifa kwa timu yake ya zamani.

Dogo Feisal anatamani kupata mshiko mkubwa ila uelewa mdogo wa maswala ya mkataba.
Azamu wanamtaka kwa hudi na uvumba na wamemchanganya kwa kutumia nguvu ya hela pasipo kufuata taratibu na sheria

Yanga bado wanamhitaji Feisal lakini pia wapo tayari kumuuza ila sio kwa 112.0m maana Feisal ni mtaji mkubwa.

Solution
Feisal akae na yanga wakubaliane kuvunja mkataba.

Azamu wakubaliane na Yanga kiasi wanachotaka kumnunua Feisal. Hapo transfer zitafanyikapasipo na kelele.
 
Wewe unataka kisomwe kwa pamoja na kipi kingine?

Lazima mtambue, mahitaji ya kimkataba kati ya mmoja na mwingine huwa tofauti, hayafanani, hivyo msikariri kwa kuchanganya mambo ya jumla kwenye sheria husika, wakati kuna issue specific ambazo zinajitegemea kutokana na makubaliano binafsi ya pande mbili husika zilizosaini mkataba.
Makolo hata huyo Fei akiondoka, Yanga bado itabaki kuwa imara na tutawatandika tu tena safari hii.
 
Du hata pichq huoni.

Feisal anao mkataba hai hadi May 2024. Hivyo sio free agent ni mali ya Yanga.

Pili Feisal au Yanga wanayo haki ya kuvunja mkataba. Na utaratibu wa kuvunja ni lazima mdaliane na kufikia muafaka wa kuvunja.

Tatu, timu yeyote inaweza kumnunua mchazaji yeyote ikiwa timu hiyo itafikia makubaliano na timu inayommiliki mchezaji huyo. Kwa mchezaji ambaye mkataba wake umeisha(bado timu inawajibika kutoa taarifa ya nia ya kumchukua)

Mchezaji anayetaka kuvunja mkataba lazima wakubaliane pande zote mbili(fuatilia Ronaldo na Man United hivi karibuni). Klabu yake ikishatangaza wazi wamevunja mkataba na mchezaji baada ya mashauriano. Kama hakukua na timu iliyomuhitaji kabla ya kuvunja mkataba basi mchezaji atahesabika kuwa yupo huru. Lakini bado timu itakayomtaka italazimika kutoa taarifa kwa timu yake ya zamani.

Dogo Feisal anatamani kupata mshiko mkubwa ila uelewa mdogo wa maswala ya mkataba.
Azamu wanamtaka kwa hudi na uvumba na wamemchanganya kwa kutumia nguvu ya hela pasipo kufuata taratibu na sheria

Yanga bado wanamhitaji Feisal lakini pia wapo tayari kumuuza ila sio kwa 112.0m maana Feisal ni mtaji mkubwa.

Solution
Feisal akae na yanga wakubaliane kuvunja mkataba.

Azamu wakubaliane na Yanga kiasi wanachotaka kumnunua Feisal. Hapo transfer zitafanyikapasipo na kelele.
Huyo kilaza kakurupuka na usimba wake.
 
Makolo hata huyo Fei akiondoka, Yanga bado itabaki kuwa imara na tutawatandika tu tena safari hii.
Vipi tena, mbona umesha panic braza!

Hii ni issue ya kisheria, sio ligi ya Simba vs Yanga, na msiwachukie Simba kwa ushamba wenu kwenye mikataba mnayoingia na wachezaji wenu, kama vipi muwe mnakuja Simba SC kufundishwa namna bora ya kuweka vipengele ambavyo havitawaumiza.
 
Simba na Yanga wamezoea kufanya janja janja feitoto anawakumbusha kuwa mpira ni pesa sio kuwafurahisha viongozi ,acheni ujanja WA kuwadhulumu wachezaji
Una akili mbovu nani amedhulumiwa? Kama anaona mil 4 ni ndogo kwanini alikubali kusaini mkataba?
Wachezaji wetu shule imewapitisha kushoto
 
Vipi tena, mbona umesha panic braza!

Hii ni issue ya kisheria, sio ligi ya Simba vs Yanga, na msiwachukie Simba kwa ushamba wenu kwenye mikataba mnayoingia na wachezaji wenu, kama vipi muwe mnakuja Simba SC kufundishwa namna bora ya kuweka vipengele ambavyo havitawaumiza.
Huna hoja za msingi na kinachowauma ni Yanga kuendelea kuongoza ligi na ndio maana mnatetea ujinga kwa hoja nyepesi.
 
Du hata pichq huoni.

Feisal anao mkataba hai hadi May 2024. Hivyo sio free agent ni mali ya Yanga.

Pili Feisal au Yanga wanayo haki ya kuvunja mkataba. Na utaratibu wa kuvunja ni lazima mdaliane na kufikia muafaka wa kuvunja.

Tatu, timu yeyote inaweza kumnunua mchazaji yeyote ikiwa timu hiyo itafikia makubaliano na timu inayommiliki mchezaji huyo. Kwa mchezaji ambaye mkataba wake umeisha(bado timu inawajibika kutoa taarifa ya nia ya kumchukua)

Mchezaji anayetaka kuvunja mkataba lazima wakubaliane pande zote mbili(fuatilia Ronaldo na Man United hivi karibuni). Klabu yake ikishatangaza wazi wamevunja mkataba na mchezaji baada ya mashauriano. Kama hakukua na timu iliyomuhitaji kabla ya kuvunja mkataba basi mchezaji atahesabika kuwa yupo huru. Lakini bado timu itakayomtaka italazimika kutoa taarifa kwa timu yake ya zamani.

Dogo Feisal anatamani kupata mshiko mkubwa ila uelewa mdogo wa maswala ya mkataba.
Azamu wanamtaka kwa hudi na uvumba na wamemchanganya kwa kutumia nguvu ya hela pasipo kufuata taratibu na sheria

Yanga bado wanamhitaji Feisal lakini pia wapo tayari kumuuza ila sio kwa 112.0m maana Feisal ni mtaji mkubwa.

Solution
Feisal akae na yanga wakubaliane kuvunja mkataba.

Azamu wakubaliane na Yanga kiasi wanachotaka kumnunua Feisal. Hapo transfer zitafanyikapasipo na kelele.
Hivyo vipo kwenye mkataba au hisia zako??
 
Back
Top Bottom