Tetesi: Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Serikali ya Awamu ya Tano Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa Shinyanga

Tetesi: Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Serikali ya Awamu ya Tano Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa Shinyanga

Hii ni habari mpya kabisa kijana mchapakazi Paul Makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa Shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kuna maridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejua jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.

Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
OOhhh! Hii ni sawa na kumrudisha magufuli tena, tutaomba Mungu yule yule afanye yake tena!
 
Hii ni habari mpya kabisa kijana mchapakazi Paul Makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa Shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kuna maridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejua jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.

Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Usitamke Amani wakati wa vita,

Muda wake Bado.
 
Mama Samia unaenda Kua binadamu atakaechukiwa zaidi Tanzania na Wananchi kwa kumteua Makonda epuka huo mtihani Mama

Kama unamuonea huruma kama binadamu mpe kazi corridor za Ikulu
 
Mama Samia hawezi asilani kufanya uteuzi wa kumdhalilisha Rais mwenyewe, Rais Samia sio mtu wa kufanya teuzi za ajabu hivyo na kamwe haiwezi tokea kwa Mama yetu, Mama Samia kajenga Imani na upendo mkubwa kwa wananchi tayari kwa muda mfupi sana, alafu alete mtu wa hovyo hovyo kama Makonda, hilo halipo na watanzania tunaona hilo halipo. Muda wa watu wa hovyo ushapita
Karibia teuzi zake zote anazofanya no za ovyo. Itakuja kuwa hii
 
Uwezo wako ni mdogo sana kwenye kufikiria. Fisadi ni mtu katili kuliko unavyofikiria.
Sijui ni nani atakayekusaidia kuweza kuondoka katika ujinga uishio.

Kama karibu yako, kuna hata mtu aliyeishia darasa la saba, mwulize tu, hivi katika mahakama, ni adhabu gani kubwa kuliko zote ambayo mahakama inaweza kutoa, na hutoa kwa watu waliofanya ninj?


What is capital punishment

the legally authorized killing of someone as punishment for a crime.


A capital crime is a crime for which a person may be punished with the death penalty. In most countries, this designation is reserved for the most heinous of crimes, such as murder.
26 Nov 2022

Hizo definitions chache zitakupa urlewa wa ziada.
 
Nakataa kabisa. Shinyanga haiwezi kutawaliwa na Mkuu wa Mkoa Shoga. Ni Magufuli tu aliweza kumfanya Makonda awe RC ila kwa Shinyanga, Shoga hapana
Hii ni habari mpya kabisa kijana mchapakazi Paul Makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa Shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kuna maridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejua jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.

Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
 
Hii ni habari mpya kabisa kijana mchapakazi Paul Makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa Shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kuna maridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejua jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.

Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Ngoja kwanza apigwe njaa akili zimrudie. Ukuu wa mkoa sio profesheni kwamba ni yeye tu aliyesome ukuu wa mkoa. Waacheni wengine nao wale. Yaani wakati mhuni mwenzake Sabaya anaozea jela yeye apewe ukuu wa mkoa kama nani?
 
Nakataa kabisa. Shinyanga haiwezi kutawaliwa na Mkuu wa Mkoa Shoga. Ni Magufuli tu aliweza kumfanya Makonda awe RC ila kwa Shinyanga, Shoga hapana
Ropoka tu ila ukitiwa kizuizini uwe na ushahidi na uwe na uhakika wa kutoka salama.


Huko mnataka wakuu wa mikoa wachawi au sio?! 😂😂😂
 
Si tuliambiwa atakuwa Waziri Mkuu, kumetokea mabadiliko mengine ?
 
Back
Top Bottom