Tetesi: Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Serikali ya Awamu ya Tano Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa Shinyanga

Akiteuliwa familia za waluouawa wote na wasiojulikana awamu ya 5 walipwe bilioni moja. Wakati ule kuna msiba nilienda wa katibu wa vijana wilaya flani wa chadema alicharangwa mapanga nilijionea jinsi zile familia zilivyoachwa na madonda na makovu yasiyokoma.

Kama ni kigezo cha maridhiano.. Akiteuliwa na hao wahanga wote. wapewe bilioni moja moja in exchange na huyo makonda.

Ila hata ivyo najua hatafika mbali.
 
Nakwambia akifanya ivyo amejimaliza. Ni nani hakuathiriwa na jeuri ya huyo dogo? Watu wanategemea ashitakiwe then awe RC?
 
Acha wivu wewe kama unamchukia kwa chuki binafsi ni wewe

Makonda ndie mtu pekee anayeweza kuhimili moto wawapinzani wanaokwenda kuuwasha
Wana moto gani? Ni upuuzi mtupu. Wananchi wametoka kwenye dhiki waje wakahangaike na vurugu za za upinzani?.

Je unajua kwanini hata tozo na gharama kupanda sababu ya kuyumba uchumi wa dunia na hali ya hewa na corona wananchi hawakureact? Ni sababu tulitoka kwenye dhiki kuu ya miaka 6. Hakuna mtu ana hamu na wapinzani wasio na nia ya dhati na wanayosema.
 
KWA CCM inawezekana hata STEVE NYERERE anaweza pia akawa Mkuu wa Mkoa
 
21 sio mbali mkuu ...hautaamini na macho Yako .... Ni wajinga na wapumbavu wachache wenye mawazo kama yako

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Makonda yupo chini ya uchunguzi. Kwanza alimteka Mo, aliua na kujeruhi vipi awe kwenye cheo? Subiri kidogo utamuona pale Kisutu na makesi kibao. Tena yakiongozwa na Jamhuri
 
tatizo Tanzania hii watu wenye akili timamu wanaendeshwa na hisia umememuona nani aliyeuwawa na makonda? mahakama ipi iliyothibitisha makonda kauwa? , kiufupi tafuta hela makasiriko uliyonayo kwa watu usiowajua ni kwasababu haupo busy kutafuta Hela , kiufupi usijifunge na kamba usiyoijua .
 
Bila shaka wewe ni moja ya wale mabodigadi wake mlilokuwa mnapepea Makonda na Lemutuz ili wasipate joto.

Kibarua kimekufa hicho, na hakitarudi
 
Wewe acha uchawa!
Mama anataka mikopo, hivyo lazima akuze demokrasia na utawala wa Sheria.
Sasa huyo Makonda wako anadhani Mama ameshasahau tamko la Mike Pompeo la kunyima watu wengine haki za kuishi ( yaani Muuaji)?!
Atasubiri sana! Hivi bado ana ile Chura yake!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…