Tetesi: Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Serikali ya Awamu ya Tano Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa Shinyanga

Tetesi: Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Serikali ya Awamu ya Tano Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa Shinyanga

Hii ni habar mpya kabisa kijana mchapakazi paul makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kunamaridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejuwa jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.

Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Kinachofuata kwa Makonda ni jela tu, hiyo spinning yenu kuhusu huyu bwana ni ya kibwege sana.

Samia hawezi kuchafua Serikali yake kwa kuweka dubwasha linalonuka damu na lilio na miliki ya mali ya DHULUMA
 
Hii ni habar mpya kabisa kijana mchapakazi paul makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kunamaridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejuwa jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.

Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Ikiwa kweli basi SHETANI litakuwa limeachiliwa kutoka kuzimu.
 
Wanataka kuanza kuteka watu tena.Ccm ni jini.KENYA Rais Ruto alisha maliza ushenzi huo.
 
tatizo Tanzania hii watu wenye akili timamu wanaendeshwa na hisia umememuona nani aliyeuwawa na makonda? mahakama ipi iliyothibitisha makonda kauwa? , kiufupi tafuta hela makasiriko uliyonayo kwa watu usiowajua ni kwasababu haupo busy kutafuta Hela , kiufupi usijifunge na kamba usiyoijua .
Tuendeshwe na hisia kwake kwa kigezo gani alichonacho? Wakati ule alikuwa gumzo kwa mabaya ndani na nje ya Tanzania wakati ni RC tuu utadhani waziri mkuu. We ulikuwa umezima kwa muda? Ulikuwa huoni.
 
Hakika hizi ni habari njema haswa kama huyo Bwana amekuwa nje ya ajira kwa kipindi chote hicho bila shaka hizi ni habari za matumaini kwake na familia.

Basi na akawe mchapa kazi ili anayempa ajira aone kuwa hajakosea.
Kwa Makonda mmmmh hapana anatuhuma nyingi mno hafai tena kuwa kiongozi
 
Wewe acha uchawa!
Mama anataka mikopo, hivyo lazima akuze demokrasia na utawala wa Sheria.
Sasa huyo Makonda wako anadhani Mama ameshasahau tamko la Mike Pompeo la kunyima watu wengine haki za kuishi ( yaani Muuaji)?!
Atasubiri sana! Hivi bado ana ile Chura yake!?
[emoji23] hahahh umenikumbusha mbalieee!! Mambo ya Bambataa.. Nilimuonaga live si mchezo.. [emoji28]
 
Hii ni habar mpya kabisa kijana mchapakazi paul makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kunamaridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejuwa jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.

Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Never will happen again
 
Kina Cha maji hakipimwi kwa kuingiza miguu, tutavuka mto tukiufikia, kwa Sasa hatutoi panga zetu kwenye ala.

Itakuwa blunder kubwa sana ambayo itaandamana na political risks, na sioni wa kubeba hilo zigo la misumari, walau kwa wakati huu.

Ni huyu mtu ambaye anatajwa kuwa Dodoma wakati Lissu akinyeshewa mvua ya risasi. Na ni mtu huyu, tangu nchi hii iumbwe, Yuko blacklisted asikanyage U.S.A kwa kudhulumu haki ya kuishi. Kudhulumu haki ya kuishi ni kwamba kwa mkono wake au Kwa maelekezo yake, aliuwa watanzania wenzetu iwe kwa mapanga, kwa risasi, au kuwanyonga, inawezekana walimlilia sana awaache au awasamehe, lakini akahakikisha wanakufa kifo Cha kikatili, bila fursa ya kuaga wapendwa wao, Wala kujulikana walipozikwa.

Ameshaonja damu ya binadamu, bila shaka atakuwa na kiu ya damu nyingine, ni ya nani Kati ya wa Tizee milioni 61?
Itakuwa blunder kubwa sana ambayo itaandamana na political risks, na sioni wa kubeba hilo zigo la misumari, walau kwa wakati huu.
 
Hii ni habar mpya kabisa kijana mchapakazi paul makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kunamaridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejuwa jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.

Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Maakonda ana wachawi wengi
 
Back
Top Bottom