Tetesi: Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Serikali ya Awamu ya Tano Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa Shinyanga

Tetesi: Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Serikali ya Awamu ya Tano Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa Shinyanga

mikutano ya chadema au ya upinzani itakuwa inafuatiliwa sana na wana ccm kuliko hata wanachadema/wanaupinzani wenyewe. Ubaya zaidi ni kwamba ndani ya ccm hakuna anayeweza kujibu hoja nyingi sana....yaani ccm wengi ni watu wa mihemko..hawawezi jibu hoja kwa ufanisi. nawasihi ccm wawe wana note hoja za msingi alafu wanateua siku moja kwa mwezi kwa ajili ya kutolea ufafanuzi wa mambo muhimu tu na si kuwajibu upinzani/chadema. CCM ipo maji ya shingo kwasasa
 
Kina Cha maji hakipimwi kwa kuingiza miguu, tutavuka mto tukiufikia, kwa Sasa hatutoi panga zetu kwenye ala.

Itakuwa blunder kubwa sana ambayo itaandamana na political risks, na sioni wa kubeba hilo zigo la misumari, walau kwa wakati huu.

Ni huyu mtu ambaye anatajwa kuwa Dodoma wakati Lissu akinyeshewa mvua ya risasi. Na ni mtu huyu, tangu nchi hii iumbwe, Yuko blacklisted asikanyage U.S.A kwa kudhulumu haki ya kuishi. Kudhulumu haki ya kuishi ni kwamba kwa mkono wake au Kwa maelekezo yake, aliuwa watanzania wenzetu iwe kwa mapanga, kwa risasi, au kuwanyonga, inawezekana walimlilia sana awaache au awasamehe, lakini akahakikisha wanakufa kifo Cha kikatili, bila fursa ya kuaga wapendwa wao, Wala kujulikana walipozikwa.

Ameshaonja damu ya binadamu, bila shaka atakuwa na kiu ya damu nyingine, ni ya nani Kati ya wa Tizee milioni 61?
Kuna mtu Ana ushahidi wa haya unayoyasema..no research no right to speak...maichukulie poa Uhuru wa habari bila kuwa na ushahidi wowote..mwacheni kijana wa watu amwagilie moyo inavyowezekana
 
Mama Samia hawezi asilani kufanya uteuzi wa kumdhalilisha Rais mwenyewe, Rais Samia sio mtu wa kufanya teuzi za ajabu hivyo na kamwe haiwezi tokea kwa Mama yetu, Mama Samia kajenga Imani na upendo mkubwa kwa wananchi tayari kwa muda mfupi sana, alafu alete mtu wa hovyo hovyo kama Makonda, hilo halipo na watanzania tunaona hilo halipo. Muda wa watu wa hovyo ushapita
Mnasahau kwamba anaye mteua anataka yeye amsaidie kazi na anakuwa anajua anaweza..haji kukufanyia kazi wewe.msiingilie kazi za wenzenu
 
Hii ni habar mpya kabisa kijana mchapakazi paul makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kunamaridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejuwa jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.

Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
siwezi kushangaa, kwasababu hakuna lisilowezekana. hata sabaya akitoka anaweza kupata cheo.
 
Hizo ni ndoto. Haiwezi kutokea. Mh. Rais hawezi kukosa hekima kiasi hicho! Akifanya hivyo atakuwa ameua maridhiano.

Yaani amteue mtu ambaye alisimamia mpango wa kutaka kutekeleza mauaji ya kiongozi wa ngazi ya juu wa chama anachofanya nacho maridhiano!! Hilo sahau kabisa. Kwenye maridhiano, CHADEMA wanacho-demand ni huyo bwana na wenzake kufikishwa mahakamani kama ilivyo kwa Sabaya.
 
Landmines katika Siasa zake ni nyingi kuliko za Angola na Ukraine, atakayejaribu kutembea katika terrain ya Makonda, ajihesabu amekwisha.

Aliyetoa amri Lissu auwawe hayupo, ila aliyetekeleza yupo, na anasemwasemwa.

Ukijiunga naye, unakuwa umeunga mkono yaliyofanyika, na hata majadiliano ya CDM na CCM Yana haki ya kufa kuanzia tarehe ya uteuzi
Kwakuwa aliwadhibiti nyiee wauza Yale madude na mashogaa, ndio maaana humtakiii. Makonda nihazina KUBWA Kwa maendeleo ya mkoa wa dar na Taifa Kwa ujumla
 
Hizo ni ndoto. Haiwezi kutokea. Mh. Rais hawezi kukosa hekima kiasi hicho! Akifanya hivyo atakuwa ameua maridhiano.

Yaani amteue mtu ambaye alisimamia mpango wa kutaka kutekeleza mauaji ya kiongozi wa ngazi ya juu wa chama anachofanya nacho maridhiano!! Hilo sahau kabisa. Kwenye maridhiano, CHADEMA wanacho-demand ni huyo bwana na wenzake kufikishwa mahakamani kama ilivyo kwa Sabaya.
Kwani sabaya Yuko wapioi
 
mkuu utamchukia wewe mbona mimi ni mtanzania sitomchukia, achukiwe kwa lipi! kama makonda humpendi siyo wote ambao hawampendi labda huko chadema.
Nina imani wauaji wote na wenye roho ya shetani, bila shaka watakuwa wanampenda muuaji mwenzao.

Kwa vyovyote huyo bwana kwenye kutekeleza mauaji ya binadamu wenzake hakuwa pekee yake. Hatujui, pengine wewe ulikuwa msaidizi wake katika ushetani wake, lazima utampenda.
 
Kinachofuata kwa Makonda ni jela tu, hiyo spinning yenu kuhusu huyu bwana ni ya kibwege sana.

Samia hawezi kuchafua Serikali yake kwa kuweka dubwasha linalonuka damu na lilio na miliki ya mali ya DHULUMA
SSH hana file wala hajawahi kulazwa Mirembe achilia mbali kutembelea sehemu hiyo kiofisi
 
Ikiwa ni kweli basi huyu mama atakuwa na maadui wenye akili mno. Kumpandikizia moja ya virusi hatari kuwahi kutokea Tz.

Makonda ni mithili ya kutu kwenye chuma, ikianza haibakishi chochote.

Kumrudisha Makonda kutaondoa uhalali wa Sabaya kuwekwa ndani mpaka sasa na kutaondoa kila punje ya uzuri mama anayojaribu kuufanya.
Makonda ni adui wa wauza unga na mashoga tu lakini watz wengine wote wanampenda sana tu.
 
Nina imani wauaji wote na wenye roho ya shetani, bila shaka watakuwa wanampenda muuaji mwenzao.

Kwa vyovyote huyo bwana kwenye kutekeleza mauaji ya binadamu wenzake hakuwa pekee yake. Hatujui, pengine wewe ulikuwa msaidizi wake katika ushetani wake, lazima utampenda.
Wauza unga na mashoga tu ndio maadui wa Makonda lakini Watz wengine wote wanampenda sana mchapakazi Makonda.
 
Mimi naomba apewe tena dar maana nguvu kazi ya vijana imeanza kuteketea na ushoga pia na madawa ya kulevya
 
Back
Top Bottom