Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya wa Tabora Mjini apinga kustaafishwa

Kuna watu Wana dharau za wazi wazi.

Unafikiri Enzi Cha bwana mkubwa angethubutu hata kujipost huyo ,?? Achilia mbali kuenda mahakamani
Mama haogopwi si unaona hata wasaidizi wake hasa mawaziri wanavyojimwambafai sasa hv...pia wanatupiga sana ila mama yupo kimyaa hana shida na mtu ndio kwaanza kawaomba wale lakini wasivimbiwe!.
 
Wakati mwingine TZ ni shida. Wakiwa majukaani, wanahubiri kujiajili, Sasa zamu Yao ikifika, anaenda mahakamani Kugomea kujiajili kama walivyokuwa wanahubirii[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Vita vya uraiani sii mchezo

Ova
 
🤣🤣Alikuwa bwege kweli,unaacha cheo chenye pension afu unakubal cheo Cha kisiasa usichojua hatima yake,si uzuzu huo?
 
Ana hoja ya msingi.

Fikiria, mtu yawezekana ana ajira sehemu fulani. Halafu anateuliwa kuwa DC au RC. Anaacha kazi yake ya mwanzo. Anaenda kwenye uteuzi. Baada ya mwaka mmoja anafutwa kazi, haambiwi hata sababu. Kazi yake ya mwanzo amepoteza, na huku amefutwa kazi. Huyu tayari ameharibiwa mpangilio wa maisha.

Suluhisho la jaya yote ni KATIBA.

Katiba ipunguze idadi ya wateuliwa wa Rais. Nafasi nyingi ziwe ni ajira ya kawaida, na wahusika walindwe kwa sheria ya ajira.

Rais abakiziwe teuzi za nafasi za kisiasa tu, na zenyewe, Rais asiwe final. Kuwepo chombo cha kuidhinisha. Wanapotolewa kabla ya muda uliotarajiwa, zitolewe sababu kwa chombo kilichoidhinisha teuzi zao.
 
Kwamba mzee alikua sukuma gang[emoji28]
 
Ndio maana kuna waalimu walikuwa wanakutana teuzi za ukuu wa wilaya kumbe waliyaona haya.
 
Tumshauri akapate notisi kwa Ally Hapi
We mjinga Jamaa ana hoja za msingi sana, shida nchi imejaaa wajinga plus Waoga, Ogopa sana nchi inakuwa na watu wajinga na waoga bora hata juwa njinga then usiwe nuoga shida ya Tanzania watu ni wajinga jumlisha waoga
 
We mjinga jamaa ana hoja ya msingi sana, shida kuu nchi imejaa wajinga sana
 
Jamaaa ana hoja sana tena ya msingi mno, shida ni kwamba hii nchi imejaaa raia wapumbavu sana jumlisja waoga sana. Ndio maana huwa tunaweza hata chuchumaishwa ndani ya mabasi na tukaona sawa tu
 
Kuna watu Wana dharau za wazi wazi.

Unafikiri Enzi Cha bwana mkubwa angethubutu hata kujipost huyo ,?? Achilia mbali kuenda mahakamani
Sema muoga plus mjinga, Nchi imejaaa vilaza sana hii si bure Wazungu, Wakenya wanajichumia tu, kwa akili kama hizi zako unafikiria nini?
 
Wakati mwingine TZ ni shida. Wakiwa majukaani, wanahubiri kujiajili, Sasa zamu Yao ikifika, anaenda mahakamani Kugomea kujiajili kama walivyokuwa wanahubirii[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Yeye kafungua kesi na ni haki yake kikatiba, ndio maana kukawa na mahakama, kwani ulitakaje? Kuna sheria kavunja kufungua kesi? Itajulikana mahakamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…