Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Julius Mtatiro ameripoti kwenye kituo chake kipya cha kazi Shinyanga

Hawa ndo wale unakuta wachimba chumvi tu
 
Karibu kwenye madini ujiokotee
Watanzania wengi Bado geographia ya Nchi yetu hatuijui,Yaani Kuna watu Bado wanafokiri Madini Yako Shinyanga tu.Huko alikotoka Kuna Madini sana.Tunduru ndiko Kuna ruby,Suphire, Alexander n.k Kwa ufupi huyo alishamlizana kabisa huko anakuja kujazia.Hii Nchi imebarikiwa imetapakaa Madini sema Wananchi wake tu hawana Akili timamu.
 
Huyu mwamba hakuna anachojua ni mweupe sana kichwani. Nimesoma naye udsm 2007 namjua sana.
Mbona alikuwa waziri mkuu udsm.
Wao na akina Silinde na odong odwar plus Bush ndio walileta migomo na changes kwenye bodi ya mikopo ya sasa

Mkuu sio kila mtu haifahamu udsm,

Ondoa ujinga wako hapa
 
Jamaa alikuwa wa Moto sana alipokuwa DARUSO. Baada ya hapo amekuwa wa kawaida kabisa. SERIKALI zinatakiwa kuwakuza vijana katika mwelekeo sahihi kipindi wanapoonyesha juhudi, sio Iwatumia wakati wanapokuwa wakawaida. Kwa uwezo ule na utisho aliokuwa nao huyu Mh alitaliwa leo awe PM.
 
Makurya on the top
 
Magu ndio ka injinia kuua kipawa chake
 
Kbsaaa
 
Mtatilo ana uwezo wa kufanya kama dc na ded at the sametime. This man will be able to be the country president
Kwa English hiyo uliyomalizia kwenye post yako, sishangqi kwa nini unamuona Mtatiro ni genius. Kwenye kundi la vipofu, mwenye chongo ndiyo mfalme wao
 
Hivi akili zenu zina kazi gani? Akiwa DARUSO alikuwa mwanafunzi na kiongizi. Alitekeleza majukumu yake kwa wakati huo.

Sasa ni DC Shinyanga, bado unataka a behave kama mwanafunzi kiongozi wa DARUSO
 
Hongera zake kuwa mmoja Kati ya wanaofaidi keki ya Taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…