life sentence(miaka zaidi ya 25 jela then anaweza fikiriwa kwa parole kama ana good behaviour,mtuhumiwa ameua nawe unahukumu kumwua wakati adhabu hii haitarudisha uhai wa aliyeuliwa au to remedy the problem ya wananchi kuamua kuua,sawa na tatizo la sasa kwa watoto wetu wa kike wanapata mimba shuleni,adhabu inayotolewa ni msichana kufukuzwa shule!na mtuhumiwa kupewa 30yrs in jail,je umesiadia vitendo hivi kupungua?jibu hapana bado na kuna ongezeko la mimba shuleni ,solutions hapa ni kutoa elimu ya uzazi kwa wasichana wetu wakajitambua,toa huduma za kuzuia mimba kama condoms,injections ,etc etc kwa wasichana na poia waruhusiwe kuendelea na masomo yao.