TANZIA Aliyekuwa Mtangazaji wa RFA, Juma Ahmed Baragaza afariki Dunia

ٱلَّذِينَ إِذَآ أَصَٰبَتْهُم مُّصِيبَةٌ قَالُوٓا۟ إِنَّا لِلَّهِ وَإِنَّآ إِلَيْهِ رَٰجِعُونَ

Wale ambao ukiwasibu msiba husema: Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake Yeye hakika tutarejea.
 
RIP nilipenda utangazaji wake sijui alikuwa anaumwaa!
 
Ulifundishwa vle kuwajua walioathirika? Utakufa wewe ukiwaamini kwa macho, na watu Kama nyie ndo wepesi wa kutangaza watu kuwa wamewaka kwa macho[emoji848][emoji848]
Hamjui Mungu huyo akiamua lake anatenda, kuna mkaka alikuwa anamuuguza ndugu yake kilichofuata kaumwa yeye malaria siku yakwanza yapili kaondoka kaacha mgonjwa hata ndugu walijua mgonjwa wazani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah amefanya nimkumbuke Zuberi Msabaha wa Bolingo time, Kwa heri malegend wa ukweli
 
Ahsante mkuu...enzi hizo hiki kipindi kilikuwa kinanichelewesha hata kanisani...ibada inaanza saa nne kipindi kinaanza saa tatu na nusu. Nilikuwa nazuga hadi kiishe ndio niondoke sema wakati ule nilikuwa mdogo sikuwa nakariri majina ya watangazaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…