Mv=chepuko wa Mashinje! alitolewa jela kwa maelekezo! toa uchafu wote urudi kwao!Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
hakuna kitu kama hichoKwani maridhiano yanasemaje?
UmeonaHivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Mapambano ya ukombozi hayajawahi kua rahisi hata siku moja.Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Viti maalum vya Chama Gani?Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Chama cha NdugaiViti maalum vya Chama Gani?
Aisee. No hope at all. Yaani hata wanasiasa wa chama tawala walioko madarakani si wa kutumainiwa kabisa!I always speak aloud, hakuna mkombozi wa kukupigania, jitambue jipiganie mwenyewe, hawa wanasiasa wako kwa matumbo yao, na sio kwa ajili yako mtanzania, jipiganie ili uishi vizuri wewe na familia yako, mlango wa kupigania utauchagua mwenyewe aidha uwe nabii uzichote za wajinga, aidha uwe mwanasiasa uchwara uwadanganye wajinga uupate ubunge, na njia zingine 1001,zote hizi ni ili uishi vizuri kwa MGONGO wa wajinga watakaokufuatilia na kukuamini,
USE YOUR BRAIN WISELY!
Kesi ya nini wakati mbowe anapata ruzuku? Endelea kutandika kitanda.Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Alifata maslahi [emoji1]Nilivyoshuhudia David Silinde akibadili gia, nilipigwa butwaa kwa siku kadhaa. Tangu siku hiyo ni kama nimeshazoea, kitakachotokea tena sitakishangaa
Nashangaa kufumaniwa gan huko! Wasubir 2025 ndo wataelewaHuwezi kufumwa mbele ya umati wa watu, mtu anafumwa hukoooo vichochoroni au chobingo
Kama ni mbele ya hadhira tena kwenye tukio la kitaifa ukiachilia mbali hometown ambako kila raia anakujua, basi tambua hilo ni kusudio, kwa kifupi bado hamjasema na mtasema ni lazima mseme
Kapendeza,sana;hizi nguo za CCM,aliyezibuni,ni mbumifu wa hali ya juu.Yupo mmoja,pia nikimuona kavaa hizi nguo,zilimprndeza sana.Nafikiri aliyebuni rangi hizi,itskuwa ni Mwalimu Nyerere,tuziheshomu sana.Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
HayaKapendeza,sana;hizi nguo za CCM,aliyezibuni,ni mbumifu wa hali ya juu.Yupo mmoja,pia nikimuona kavaa hizi nguo,zilimprndeza sana.Nafikiri aliyebuni rangi hizi,itskuwa ni Mwalimu Nyerere,tuziheshomu sana.
Na hiyo hila ya kufanikisha kesi kwenda kwa spidi ya konokono ili Mdee na genge lake wamalize ubunge wao haramu kuna mkono wa kigogo au vigogo chadema pamoja na ushirika wa speaker na pengine mahakama. Ukisikia Lissu anapiga kelele chadema kuna rushwa ujue ni kweli kuna organised corruption ya hali ya juu. Itakuaje chadema wamewafukuza uanachama hao wabunge kisha wako kimya na wao wanaendelea na ubunge wakipokea mishahara posho na pengine mafao ya kustaafu ubunge na huku chama wanachodai kukiwakilisha hakiwatambui. Hapo ni uhakikisho kwamba nchi hii kuna njama za rushwa za hali ya juu.Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.