Aliyekuwa mwanachama wa CHADEMA Nusrat Hanje avaa sare ya CCM

Aliyekuwa mwanachama wa CHADEMA Nusrat Hanje avaa sare ya CCM

Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.

View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.

Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.

Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Mv=chepuko wa Mashinje! alitolewa jela kwa maelekezo! toa uchafu wote urudi kwao!
 
Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.

View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.

Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.

Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Mapambano ya ukombozi hayajawahi kua rahisi hata siku moja.
Njaa ni mtihani mkubwa.
Ila CHADEMA ni chama kwelikweli,waliondoka vigogo kwelikweli.Zito,Slaa,Arfi na wengineo lkn chadema bado ni tishio.
 
I always speak aloud, hakuna mkombozi wa kukupigania, jitambue jipiganie mwenyewe, hawa wanasiasa wako kwa matumbo yao, na sio kwa ajili yako mtanzania, jipiganie ili uishi vizuri wewe na familia yako, mlango wa kupigania utauchagua mwenyewe aidha uwe nabii uzichote za wajinga, aidha uwe mwanasiasa uchwara uwadanganye wajinga uupate ubunge, na njia zingine 1001,zote hizi ni ili uishi vizuri kwa MGONGO wa wajinga watakaokufuatilia na kukuamini,
USE YOUR BRAIN WISELY!
Aisee. No hope at all. Yaani hata wanasiasa wa chama tawala walioko madarakani si wa kutumainiwa kabisa!

Yaani tulipe kodi, tufuate sheria kisha tutumie “akili za ziada” kujipatia riziki ya kutosheleza - kijanja!
 
Mbona hilo ni gwanda? Toka lini ccm wakavaa gwanda?

Kilichokuchanganya ni rangi tu..lakini si huwa tunaona hadi magwanda meusi.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.

View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.

Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.

Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Kesi ya nini wakati mbowe anapata ruzuku? Endelea kutandika kitanda.
 
Nilivyoshuhudia David Silinde akibadili gia, nilipigwa butwaa kwa siku kadhaa. Tangu siku hiyo ni kama nimeshazoea, kitakachotokea tena sitakishangaa
Alifata maslahi [emoji1]

Usimuweke mwanasiasa mdhamana

Ova
 
Huwezi kufumwa mbele ya umati wa watu, mtu anafumwa hukoooo vichochoroni au chobingo

Kama ni mbele ya hadhira tena kwenye tukio la kitaifa ukiachilia mbali hometown ambako kila raia anakujua, basi tambua hilo ni kusudio, kwa kifupi bado hamjasema na mtasema ni lazima mseme
Nashangaa kufumaniwa gan huko! Wasubir 2025 ndo wataelewa
 
Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.

View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.

Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.

Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Kapendeza,sana;hizi nguo za CCM,aliyezibuni,ni mbumifu wa hali ya juu.Yupo mmoja,pia nikimuona kavaa hizi nguo,zilimprndeza sana.Nafikiri aliyebuni rangi hizi,itskuwa ni Mwalimu Nyerere,tuziheshomu sana.
 
Kapendeza,sana;hizi nguo za CCM,aliyezibuni,ni mbumifu wa hali ya juu.Yupo mmoja,pia nikimuona kavaa hizi nguo,zilimprndeza sana.Nafikiri aliyebuni rangi hizi,itskuwa ni Mwalimu Nyerere,tuziheshomu sana.
Haya
 
Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.

View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.

Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.

Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Na hiyo hila ya kufanikisha kesi kwenda kwa spidi ya konokono ili Mdee na genge lake wamalize ubunge wao haramu kuna mkono wa kigogo au vigogo chadema pamoja na ushirika wa speaker na pengine mahakama. Ukisikia Lissu anapiga kelele chadema kuna rushwa ujue ni kweli kuna organised corruption ya hali ya juu. Itakuaje chadema wamewafukuza uanachama hao wabunge kisha wako kimya na wao wanaendelea na ubunge wakipokea mishahara posho na pengine mafao ya kustaafu ubunge na huku chama wanachodai kukiwakilisha hakiwatambui. Hapo ni uhakikisho kwamba nchi hii kuna njama za rushwa za hali ya juu.
 
Back
Top Bottom