mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,369
- 5,866
Mv=chepuko wa Mashinje! alitolewa jela kwa maelekezo! toa uchafu wote urudi kwao!Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.