Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Anajua anachokifanyaHuwezi kufumwa mbele ya umati wa watu, mtu anafumwa hukoooo vichochoroni au chobingo
Kama ni mbele ya hadhira tena kwenye tukio la kitaifa ukiachilia mbali hometown ambako kila raia anakujua, basi tambua hilo ni kusudio, kwa kifupi bado hamjasema na mtasema ni lazima mseme