Aliyekuwa mwanachama wa CHADEMA Nusrat Hanje avaa sare ya CCM

Aliyekuwa mwanachama wa CHADEMA Nusrat Hanje avaa sare ya CCM

Huwezi kufumwa mbele ya umati wa watu, mtu anafumwa hukoooo vichochoroni au chobingo

Kama ni mbele ya hadhira tena kwenye tukio la kitaifa ukiachilia mbali hometown ambako kila raia anakujua, basi tambua hilo ni kusudio, kwa kifupi bado hamjasema na mtasema ni lazima mseme
Anajua anachokifanya
 
Mkuu ujinga huu upo TZ tuu, kwingine ambako watu wako seriously hawawezi kuishi na watu ndumila kuwili.
Unajua kwa nini Mungiki kule Kenya ilikuwa ni tishio? Unaleta siasa za kipumbavu kwenye maslahi ya umma kwa kuwafanya wengine wajinga basi wao wanaamua kukutenda!
Au ili wakuumize usiwachezee tena wanagusa familia yako, mke au mume au mtoto ili ujue uchungu wanaosikia wengine.
Hapa hajapigwa pipe mtu akaelewa kuwa siasa sio uhuni, huwezi kujifanya unatetea kundi fulani nalo likakupa nafasi kumbe wewe ndio unalisaliti! Ukitendwa huwezi rudia ujinga huo wala mwingine hawezi iga.
Kwa style hio CCM ingeua wanachama wengi sanaaa,
Mana wapinzani karibu 98% wametoka CCM
 
Ukweli mchungu huu hili la usaliti liko Tanzania na Hakuna sample hata Moja aliwahi fanyiwa hili hat hvyo kesi za namna hi Kuna wengi watakomolewa na serekali
Usaliti kwenye siasa ni sawa na maji na samaki mkuu,
Taja nchi isiyo na usaliti kwenye siasa,

USA, Donald Trump kahama vyans karibu mara 4 huyu naona alivuka level ya usaliti kabisa,

Hapo kenya ndo ovyo kabisa usaliti no nje nje .

Yan kwenye siasa na usaliti ni pete na kidole
 
Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.

View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.

Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.

Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Wabunge wote 19 watalamba U DC baada ya 2025 election.Mashinji yupo serikqlini,huyu alikuwa Katibu Mkuu,Mtatiro yupo kimya sasa anakula kiulaini.Maisha ni mafupi.Mrema kaondoka kachoka,Cheyo anatembelea choke,Lipumba kwishney,Slaa angalau aliambulia.Kuwa upinzani ni kujitoa mhanga.
 
Wabunge wote 19 watalamba U DC baada ya 2025 election.Mashinji yupo serikqlini,huyu alikuwa Katibu Mkuu,Mtatiro yupo kimya sasa anakula kiulaini.Maisha ni mafupi.Mrema kaondoka kachoka,Cheyo anatembelea choke,Lipumba kwishney,Slaa angalau aliambulia.Kuwa upinzani ni kujitoa mhanga.
Hivyo ndivyo walivyopanga lakini haitowezekana , ccm inaangushwa 2025
 
Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.

View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.

Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.

Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
usiishie hapo, sema mchepuko wa salum mwalimu wavaa sare za ccm. hapo jioni akivua hayo magwanda wanakutana pamoja na kujifunika shuka moja. ndo maana tunasema kitafutwe chama kingine kipya kitakachobadili hii chadema ya mbowe.
 
usiishie hapo, sema mchepuko wa salum mwalimu wavaa sare za ccm. hapo jioni akivua hayo magwanda wanakutana pamoja na kujifunika shuka moja. ndo maana tunasema kitafutwe chama kingine kipya kitakachobadili hii chadema ya mbowe.
Jikite kwenye mada
 
Wabunge wote 19 watalamba U DC baada ya 2025 election.Mashinji yupo serikqlini,huyu alikuwa Katibu Mkuu,Mtatiro yupo kimya sasa anakula kiulaini.Maisha ni mafupi.Mrema kaondoka kachoka,Cheyo anatembelea choke,Lipumba kwishney,Slaa angalau aliambulia.Kuwa upinzani ni kujitoa mhanga.
Ila kwa hao 19 roho zinawapwita wawaache

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Kwa style hio CCM ingeua wanachama wengi sanaaa,
Mana wapinzani karibu 98% wametoka CCM
Nadhani huelewi tunaongea nini. Mtu kujitanabaisha kuwa ni CCM haina shida kwa wa Chadema hivyo hivyo kinyume chake.
Lakini haiwezekani mwanachadema kutenda ya CCM au wa ccm kutenda ya Chadema.
Hivi mkeo ni sahihi kuwa ana lala na jirani adui yako?
 
Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.

View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.

Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.

Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Hawa tunawajua tangu enzi za mwendazake walichagua kuangalia matumbo yao badala ya kupigania haki
 
Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.

View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.

Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.

Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Bora tu awe huru ndani ya chama kipya.....kila la kheri
 
Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.

View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.

Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.

Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Mbona kazeeka haraka? Huko ccm kuna nini? Vijana kamq wazee
 
Ni kama vile Fei toto akatoka Yanga akahamia Azam, John Boko akatoka Azam akaenda Simba...
...au mtu atoke Vodacom ahamie Tigo au Airtel. Pipo zinaangalia maslahi, nadhani hata siasani ni the same, japo inabeba sana hisia za watu.
 
Back
Top Bottom