Aliyekuwa mwanachama wa CHADEMA Nusrat Hanje avaa sare ya CCM

Aliyekuwa mwanachama wa CHADEMA Nusrat Hanje avaa sare ya CCM

Halafu mtu anafumaniwa vipi mbele ya hadhara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au tuseme wivu tu ha ha ha acha wajitafutie ugali mbona kina mama Tanzania waliteuliwaga wakatokea huko huko, embu tulia basi.
 
Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.

View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.

Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.

Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Njaa mkuu ndo tatizo
 
Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.

View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.

Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.

Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Hili suala la aibu kwa mhiimili wa mahakama ……., watu ambao ushahidi wa wadi unaonyesha kuwa hawapo tena kwenye Chama wanachodaiwa kuwakilisha…ingekua vyema mahakama ingeruhusu tu Chadema wapeleke wabunge wengine hasa kwa hawa ambao kuna ushahidi wa wazi kuwa wanatumikia ccm…
 
Hao wabunge wanalindwa na viongozi wakuu wa CHADEMA siamini kuwa mahakama ndo inachelewesha huo ni mchongo kati ya Viongozi wa CHADEMA na mahakama
 
Siasa na mungu vitu tofauti siasa yote ina ushetani mkubwa tu imejaa wizi , uchawi kuuwana fitina , kubebana usitegemee mungu aingilie vita ya mashetani , hii ni vita ya walafi hii nafasi ya hanje akiikosa anaweza pewa demu wa mbowe na hakuna mtunwa kuhoji , siasa achana nazo usimuingize mungu kwenye mambo ya hovyo
Shetani hajawahi kumshinda Mungu
 
Duuh hata siamini nachoona. Hivi ni huyu "Nusrat binti chadema" aliyekua chadema lia lia kipindi anazunguka na kamanda mawazo kanda ya ziwa kujenga chama?

Aisee kweli "politics" is a game of opportunities.
Mkuu ujinga huu upo TZ tuu, kwingine ambako watu wako seriously hawawezi kuishi na watu ndumila kuwili.
Unajua kwa nini Mungiki kule Kenya ilikuwa ni tishio? Unaleta siasa za kipumbavu kwenye maslahi ya umma kwa kuwafanya wengine wajinga basi wao wanaamua kukutenda!
Au ili wakuumize usiwachezee tena wanagusa familia yako, mke au mume au mtoto ili ujue uchungu wanaosikia wengine.
Hapa hajapigwa pipe mtu akaelewa kuwa siasa sio uhuni, huwezi kujifanya unatetea kundi fulani nalo likakupa nafasi kumbe wewe ndio unalisaliti! Ukitendwa huwezi rudia ujinga huo wala mwingine hawezi iga.
 
Hili suala la aibu kwa mhiimili wa mahakama ……., watu ambao ushahidi wa wadi unaonyesha kuwa hawapo tena kwenye Chama wanachodaiwa kuwakilisha…ingekua vyema mahakama ingeruhusu tu Chadema wapeleke wabunge wengine hasa kwa hawa ambao kuna ushahidi wa wazi kuwa wanatumikia ccm…
Profesa Ibrahim Juma ataingia kwenye vitabu vya historia kama CJ bogus kupata kutokea na kuruhusu mahakama kuwa vijiwe vya kufanya mambo ya hovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom