Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kiazi huyoHivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.