Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Masahihisho : Chadema haina Mpango wa kupeleka Wabunge wa viti maalum bungeni , sababu zinajulikana , Na wala hatuzuii hawa Wasaliti kuwa Wabunge bali wasitumie jina la Chadema maana walishatimuliwaHili suala la aibu kwa mhiimili wa mahakama ……., watu ambao ushahidi wa wadi unaonyesha kuwa hawapo tena kwenye Chama wanachodaiwa kuwakilisha…ingekua vyema mahakama ingeruhusu tu Chadema wapeleke wabunge wengine hasa kwa hawa ambao kuna ushahidi wa wazi kuwa wanatumikia ccm…