Atagombea Iringa wacha tuone yeye na Jesca MtavanguMsigwa ni mwakirishi wa matapeli wa Iringa,wanaiba Mali za watu wanatapeli.maheka na maheka ya mashamba ya miti na pia kuchoma misitu ya Sao Hill ili watoboe,nitakuwa wa mwisho kuipenda Iringa.Nimewaona sio watu poa na msigwa aende na opotee mazima
Hiyo ya kushindwa inaweza ikawa 'immediate cause '....ila 'long term cause ' ni pamoja na uongozi wa Chadema hasa 'Mbowe'.
Chadema ijipange upya maana bado ni upinzani muhimu kwa Sasa hapa nchini.
JokaKuu zitto junior
Amehamia kwani alikuwa wapi?
Tatizo siyo vyama, ni watu.Inaonekana amekwazwa sana na CDM, naamini Msigwa angekuwa na tamaa basi zile enzi za manunuzi angekuwa ameshafanya maamuzi tayari.
Siamini katika CCM na wala siamini katika CDM, huwezi kuwa smart ukafanya siasa kupitia vyama hivi maana vyote vimejaa wahuni tu.
Kuche kwangwi nongwa 😂😂😂Aisee!Kumbi ndauli konoo?
Lusu Alikimbia mkutano kufanya na mbowehuwa nawashangaa sana watu wanaompapatikia tundu lisu, hakuna mtu corrupt kama tundu lisu chadema, hata yeye (tundu lusu) is next kwenda ccm utasikia tu muda si mrefu, matter of fact chadema yote ni controlled opposition …
Khaaaa!Hakyanane!Kuche kwangwi nongwa 😂😂😂
Sijashindwa kujua maana yake kwa sababu ni neno la kimombo la! Nimetaka nijue umelitumia kwa muhtadha gani kwa sababu swali lako hali-make sense kwenye kuhoji maelezo niliyotoa. Bado niko pale pale. Wewe unasumbulia na ufinyu wa mawazo kuhusu siasa kwa ujumla. Bado unadhani siasa iko kwa ajili ya wanasiasa tu na wananchi wengine wanatakiwa kukaa kimya. Halafu ''nitashabikia siasa kama tutaruhusu mawazo....''. Dear, unasubiri nani akuruhusu? Unadhani kuna siku utakuja kuletewa haki yako kwenye kisahani? Nakuhakikishia kuwa mambo yanazidi kuwa magumu na siku si nyingi wewe au mtu wako wa karibu ataathirika (kama haijawa hivyo tayari).Political affiliation umeshindwa kuelewa inamanisha nini ilhali ni neno lenye maana ya wazi... you can Google
Upo sahihi sana ila kwa bahati mbaya Siasa kwa Tanzania zimeaachiwa wajinga
Infact wanasiasa wajinga ni wazuri sana kwenye siasa ndio maana recently tumeona intellectuals wengi walohamia kwenye siasa wamekua wajinga ..
Mimi nmekataa kua mjinga sifungaman na wanasiasa hata kwa bunduki
Nitashabikia siasa kama tutaruhusu mawazo ya watu huru na kua na wanaharakat ambao wanaweza kufanya harakat bila kusajili vyama vya siasa
Naye yuko njiani, ni swala la muda tu! Ila hii ni haki yake Msigwa kufanya akipendacho!Tundu Lisu njoo huku unafanya nini ubelgiji ? Habari za mjini ziko huku Tanzania
Acha kusikiliza BBC na CNN
Breaking news ziko Tanzania
Your comments please hili la Msigwa swahiba wako kukutoroka unasemaje?
pigo kubwa kwa chadema ilikuwa kifo cha mwendazake haya mengine ni blahblah tu..hili ni pigo kubwa kwa Chadema.
Hili nililijua mdaa mrefuu ,kutokana na mienendo yakee,Mchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC kinachoongozwa na Mwenyekiti wa CCM Daktari Samia Suluhu Hassan
Alizaliwa Juni 8 1965, ni mwanasiasa Mtanzania aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Iringa Mjini (2015-2020)
Kwa sasa Mchungaji Msigwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.
Hivi karibuni 30 Mei 2024 Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu kama Sugu, alimshinda Mchungaji Peter Msigwa kwenye Cheo cha Uwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa.
Katika uchaguzi wa kanda hiyo uliofanyika ukumbi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makambako, ambao ulikuwa na mchuano mkali, Sugu aliibuka kidedea baada ya kupata kura 52 sawa na asilimia 51 dhidi ya Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa aliyepata kura 51 (asilimia 49). Matokeo hayo Mchungaji Msigwa hakukubaliana nayo kwa kile alichodai haki haikutendeka na alikata rufaa.
====
Kuhusu Mchungaji Msigwa kutaka kupewa Uwaziri na Hayati Magufuli soma:
1. Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa
2. Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa
View attachment 3029802
Nasubiri huo muda.Sijashindwa kujua maana yake kwa sababu ni neno la kimombo la! Nimetaka nijue umelitumia kwa muhtadha gani kwa sababu swali lako hali-make sense kwenye kuhoji maelezo niliyotoa. Bado niko pale pale. Wewe unasumbulia na ufinyu wa mawazo kuhusu siasa kwa ujumla. Bado unadhani siasa iko kwa ajili ya wanasiasa tu na wananchi wengine wanatakiwa kukaa kimya. Halafu ''nitashabikia siasa kama tutaruhusu mawazo....''. Dear, unasubiri nani akuruhusu? Unadhani kuna siku utakuja kuletewa haki yako kwenye kisahani? Nakuhakikishia kuwa mambo yanazidi kuwa magumu na siku si nyingi wewe au mtu wako wa karibu ataathirika (kama haijawa hivyo tayari).
Huo ubinafsi ndio umelifikisha hapa lilipo taifaBetter be kuliko kutumika kufaidisha watu
Mnamchangia mtu V8 hata Raum huna?
Wengine wanapeana hadi sumu alaf wanapewa elfu 7 ya bando wakiahidiwa watapewa UDED