Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubinafsi ni huo wa kuteuana na kupeana mfereji wa pesa maisha yote huku wakidanganya vijana waeneze Ilani ya ChamaHuo ubinafsi ndio umelifikisha hapa lilipo taifa
Unaonekana nawe ukapata nafasi ya juu ya uongozi TANZANIA utaanza na huo ubinafsi wako kwa kufanya kile ambacho kina masilahi nawe
Badilika ndugu ubinafsi haufai kabisa
Mchungaji Msigwa namkubali sana popote pale atakapokuwa. Nina imani kuwa ataendeleza moto wa kuichachafya serikali ya CCM hata akiwa ndani ya CCM. Namtakia kila la kheri ktk chama chake kipya.Mchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC kinachoongozwa na Mwenyekiti wa CCM Daktari Samia Suluhu Hassan
Alizaliwa Juni 8 1965, ni mwanasiasa Mtanzania aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Iringa Mjini (2015-2020)
Kwa sasa Mchungaji Msigwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.
Hivi karibuni 30 Mei 2024 Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu kama Sugu, alimshinda Mchungaji Peter Msigwa kwenye Cheo cha Uwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa.
Katika uchaguzi wa kanda hiyo uliofanyika ukumbi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makambako, ambao ulikuwa na mchuano mkali, Sugu aliibuka kidedea baada ya kupata kura 52 sawa na asilimia 51 dhidi ya Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa aliyepata kura 51 (asilimia 49). Matokeo hayo Mchungaji Msigwa hakukubaliana nayo kwa kile alichodai haki haikutendeka na alikata rufaa.
====
Kuhusu Mchungaji Msigwa kutaka kupewa Uwaziri na Hayati Magufuli soma:
1. Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa
2. Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa
View attachment 3029802
Ubinafsi ni huo wa kuteuana na kupeana mfereji wa pesa maisha yote huku wakidanganya vijana waeneze Ilani ya Chama
Ubinafsi ni kumchangia makamo Gari wakati jirani yako hana hela ya dagaa
sawa mchungajiMchungaji Msigwa namkubali sana popote pale atakapokuwa. Nina imani kuwa ataendeleza moto wa kuichachafya serikali ya CCM hata akiwa ndani ya CCM. Namtakia kila la kheri ktk chama chake kipya.
naskia makamu mwenyekiti taifa anatimkia ADA-TADEA, can you plz plz confirm on this kamanda?
Kuna mtu Twitter kasema msigwa kapewa advance ya dola laki tano hiyo ni advance tu bado Maokoto mengine yanakuja mifukoni mwake 🤣🤣. Hizo taarifa hazina uthibitisho ni tetesi tu. Labda huyo mtu wa Twitter ndio alete ushahidi wa hiyo dola laki tano kwenda kwa msigwaMbona hajavalishwa sare!! Atalamba udc sku sio nyingi
Sawa umeelewekaUbinafsi ni huo wa kuteuana na kupeana mfereji wa pesa maisha yote huku wakidanganya vijana waeneze Ilani ya Chama
Ubinafsi ni kumchangia makamo Gari wakati jirani yako hana hela ya dagaa
Hao wote si ndo hao wanabubujisha threads wakidhani watapata uteuzi..vipi kuhusu kumnunulia fomu Mama Abduli ili agombee Uraisi? Huo kwako sio unafiki?
Lisu kapata salamu kutoka kwa Mbowe na team Lisu yaoNaona mbowe alinusa hatari mapema
Umechelewa....Kama ni kweli, basi ndio mwisho wangu wa kumuamini mwana siasa wa upinzani bongo
Hizi ni kanuni za mtu asiye msomi, anayekaa nyumbani kusuburi viongozi wampiganie. Na ndiyo mawazo wa watanzania wengi. Watanzania sisi ni wavivu, tunataka short-cut, hivyo tunadhani wanasiasa ndiyo watatutatulia matatizo yetu wakati sisi tumekaa. Ni hivi: raia wote kwa umoja wetu leo hii tukamua kuikalia CCM kooni iwajibike na kuondoa viongozi wote wabovu tunaweza. Hili lina maana gani? Kiongozi hawezi kuwajibika bila msukumo wa wananchi.Nasubiri huo muda.
Kanuni ni mbili tu weka akilini kwako na uishi nazo maisha yako ya hapa duniani
1. AKIPINGA = HAJAGAIWA
2. AKIPIGANIA (AKILINDA)= AMEGAIWA
Kadi ya CCM ilikuwa lazima Kama mfanyakazi wa Serikali. Hata Mimi nililazimishwa kuchukuwa na sikuirudisha kwani sijui niirudishe wapi kwani sikupewa na Chama