Pre GE2025 Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

Pre GE2025 Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wampe ka cheo sasa! Ukuu wa Mkoa au UDC au ukurugenzi taasisi fulani.
Ila tukubaliane "Respect" atakosa. Kila la kheri kwenye maisha mapya ya kuwa "Doubtful" yaani ya kukana ulichokuwa unakisimamia awali.
Yaani leo aanze akane ile kauli ya Einstein aliyokuwa anaisimamia kwamba "Matatizo yetu hayawezi kutatuliwa na fikra ile ile iliyoyatengeneza" 😁
Ile hotuba/speech yake bungeni naichukulia kama the best speech ever niliyowahi kuisikia toka nimeanza kufuatilia bunge.

Quote ingine ya Albert Einstein aliyotumia that day ni kuhusu "Insanity", doing the same thing over and over again and expecting different result.

Ni mtu mzuri kujenga hoja, nadhan njaa imempiga kias ndio kahamia huko.
 
Kumbe watu wengine wengi mko tofauti na mimi kabisa. Kadiri CCM inavyovuta wanasiasa wengi basi ndivyo ukombozi unavyokaribia kwa haraka. Reason: wanasiasa wa aina hii wanakimbilia vyeo lakini jambo lililo dhahiri ni kuwa CCM hakuna nafasi za kuwatosha wote. Hili litasababisha anguko la CCM kwa haraka zaidi kwa sababu kutakuwa na mgongano mkubwa. Hapo wengi ya wanaoimba kumshangililia Msingwa wanaumia kichinichini kwa sababu wanajua kabisa ushindani unazidi vya kupata vyeo unazidi ndani ya CCM.
Kichwa chako kina kitu 🤝
 
Vipi,kanunuliwa au siyo?😁

Huyu ndiye alidai kuahidiwa uwaziri na
Magu akihamia CCM!!

Sasa hivi kaahidiwa nini na nani?
 
1719756065582.png
...... AMMAH!!!?
... SASA CCM NDO WATAMPA HIYO KANDA?
👊😅✌️
NB: ... If not broken don't repair! ... LESSON!
 
Elimu yako ndogo pengine? Au lack of exposure? What ''harakati'' are you talking about? Kama ni harakati za kisiasa basi nakuhakikishia kwa asilimia 100 kuwa zitakuletea kibaba cha mchele. Uongozi wa nchi una-relate kwa kila hali na maisha yako na majirani zako directly! Hili sihitaji kukufunza. Na upande wa pili wa shilingi: hata ukiwa na maisha mazuri sana, bado uongozi mbovu utakuathiri. Au mpaka nikuambie kuwa akija jambazi wakati umestarehe nyumbani kwako akakutoa uhai vina uhusiano na uongozi wa nchi?
take it as a W
 
Hamna mwenye unafuu si chadema wala ccm, upinzani umechunda km kiporo hawana sera za mvuto tena ccm hao ndo kabisa kinachofanya waendelee kupumua ni ule chama dola
 
Chadema Mnisikilize muelewe
Mbowe ni Mamluki yuko Upinzani kujenga ulaji wake na kuwapumbaza. Hataki Watu smart ndani ya hicho chama.
Tangu ameharibu watu kuanzia kwa Chacha Wangwe mpaka leo anaendelea.
 
Back
Top Bottom