Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Political affiliation umeshindwa kuelewa inamanisha nini ilhali ni neno lenye maana ya wazi... you can GoogleWhat do you mean by political affiliation? Nachoweza kusema ni kuwa mtu yoyote anaweza kuwa na mambo anayokubaliana nayo kuhusu chama fulani, kwa muda fulani na hili lipo pia kwa Tanzania. All in all, mwanaharakati kuwa na political affiliation na chama cha siasa siyo jambo baya bali jambo jema sana. Infact raia wote tunatakiwa tuwe active kujua siasa za nchi zinaendaje na kuunga mkono chama tunachoamini kitatufaa.
Better be kuliko kutumika kufaidisha watuNafikili wapo sahihi vijana wa Kenya kusema hatuna faida kwa Afrika vijana wa Tanzania
Pole yako
basi kama ni hivyo lissu naye aingie ccm tujue hakuna upinzani na mama asihangaike sana kusaka kura tanzania nzima kwani tayari ameshashinda kabla ya kushinda. 4R iendelee kufanya kazi kwa kuwajumuisha wapinzani katika serikali ya ccm ijayo chini ya uongozi wa mama. Chadema ndio basi tena, act wazalendo si lolote si chochote hawana nguvu. Hakuna haja ya kufanya uchaguzi mkuu wakati tayari ccm inaonekana kushinda dhahiri tena kwa kuwachukua wapinzani, kumbukeni kuna wale covid19 bunge likimaliza muda wake huenda wakahamia ccmhuwa nawashangaa sana watu wanaompapatikia tundu lisu, hakuna mtu corrupt kama tundu lisu chadema, hata yeye (tundu lusu) is next kwenda ccm utasikia tu muda si mrefu, matter of fact chadema yote ni controlled opposition …
basi kama ni hivyo lissu naye aingie ccm tujue hakuna upinzani na mama asihangaike sana kusaka kura tanzania nzima kwani tayari ameshashinda kabla ya kushinda. 4R iendelee kufanya kazi kwa kuwajumuisha wapinzani katika serikali ya ccm ijayo chini ya uongozi wa mama. Chadema ndio basi tena, act wazalendo si lolote si chochote hawana nguvu. Hakuna haja ya kufanya uchaguzi mkuu wakati tayari ccm inaonekana kushinda dhahiri tena kwa kuwachukua wapinzani, kumbukeni kuna wale covid19 bunge likimaliza muda wake huenda wakahamia ccmhuwa nawashangaa sana watu wanaompapatikia tundu lisu, hakuna mtu corrupt kama tundu lisu chadema, hata yeye (tundu lusu) is next kwenda ccm utasikia tu muda si mrefu, matter of fact chadema yote ni controlled opposition …
Kama akipokelewa vizuri na kupewa nafsi nzuri basi itakuwa vizuri sana kwa afya ya demokrasia ya Tanzania kwa sababu CCM itakuwa inachimbia kaburi lake lenyewe. Kadiri wapinzani wanavyotimkia CCM ndiyo ushindani unavyozidi kuongezeka ndani yake, and guess what? Kitaparanyika!atampa uwaziri au cheo chochote kikubwa ili awatese Chadema, but i guess yatapiata kama yalivyopita ya akina covid 19 na wengine
Chama TawalaKwanini kahamia CCM na sio chama kingine.