Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cheza na DP World weweUnaweza na Pesa ya SUKARI wewe?
Ndugu acha kushupaza Shingo ukaanza kumsingizia Polepole! Sema tu ukweli Pesa za mama ABDUL msigwa kafika Bei!
CCM ya leo inanuka RUSHWA TUPU kipi Kimempeleka Msigwa CCM!
Tuelewe kwamba, SIASA za KIAFRIKA ni utapeli kama utapeli mwingine kwa kisingizio cha demokrasia.
SIASA NA DEMOKRASIA AFRIKA NI UHUNI NA UTAPELI, HII NDIYO SABABU KUBWA WANANCHI WENGI WANABAKI KUWA MASKINI NA WANASIASA NA DEMOKRASIA YAO YA KITAPELI WAKIPONDA RAHA KWA KODI ZA MASKINI.
Sikia hata mbowe na Lissu ni CCM issue ya when wanarudi Hilo ni sehemu ya majukumu ya kazi na lini watahitajika kwa majukumu mapyaInaonekana amekwazwa sana na CDM, naamini Msigwa angekuwa na tamaa basi zile enzi za manunuzi angekuwa ameshafanya maamuzi tayari.
Siamini katika CCM na wala siamini katika CDM, huwezi kuwa smart ukafanya siasa kupitia vyama hivi maana vyote vimejaa wahuni tu.
Bora CHADEMA haimo ni CCM na CDM.Inaonekana amekwazwa sana na CDM, naamini Msigwa angekuwa na tamaa basi zile enzi za manunuzi angekuwa ameshafanya maamuzi tayari.
Siamini katika CCM na wala siamini katika CDM, huwezi kuwa smart ukafanya siasa kupitia vyama hivi maana vyote vimejaa wahuni tu.
Hakuna upinzani Tanzania ni magenge Tu ya wahuni wapate hela ya ruzuku za vyama basiIla mi nasema tu kwamba hakuna mwanachama wa chama cha upinzani ambaye sio CCM, ni vile tu hajapata fursa. Kama yupo niambieni ni nani?
Hata Dr Slaa hakurudisha kadi ya CCM.
Juzi tu walikuwa pamoja na lissu, ina maana lissu hakujua kuwa msigwa atahama chama soon, au na yeye yuko mbioni kuihama chadema?
Sio kweli, wanasiasa wanasaka fursa na maslahi tu. Yasipopatikana pale walipo, watahamia pale yanapopatikana. Hata leo hii CCM ikishindwa uchaguzi, utashangaa hadi viongozi wa CCM watahamia hicho chama kingine. Kwa mfano kwa Msigwa, hakupata uongozi wa chama na ubunge ni ngumu kuupata tena Iringa mjini, huku umri ukienda. Ni aheri ajaribu CCM, akikosa ubunge kuna ukuu wa Mikoa na Wilaya.Ila mi nasema tu kwamba hakuna mwanachama wa chama cha upinzani ambaye sio CCM, ni vile tu hajapata fursa. Kama yupo niambieni ni nani?
kwahio ulikua unaamini wanasiasa?Kama ni kweli, basi ndio mwisho wangu wa kumuamini mwana siasa wa upinzani bongo.
Tuliambiwa na kigogo kuwa msigwa alikuwa kwenye list ya mashaidi wa jamuhuri dhidi ya mwenyekiti kwenye kesi hewa ya ugadi iliyopelekes jamuhuri kushindwa vibaya mahakamani