Pre GE2025 Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

Pre GE2025 Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Toka Magufuli atake kumlipia hela ya kutoka gerezani, sikuwahi kuwa na imani na Msigwa. Na toka wakati ule nilishaona kuwa yuko cdm kimwili, lakini kimapato yuko ccm. Acha aende ccm akale hela za uchaguzi, na aandaliwe vipindi vya kutosha vya kuiponda cdm wiki hizi 2 tatu. Baada ya hapo aanze kufuatilia malipo yake kwa kukubali kurudi ccm.
Huyu atapewa 'Uteuzi' kama zawadi.

Ila Chadema lazima mjipange maana mshindani wenu ana rasilimali za kutosha za kuwavuruga na kuwabomoa.
 
Inaonekana amekwazwa sana na CDM, naamini Msigwa angekuwa na tamaa basi zile enzi za manunuzi angekuwa ameshafanya maamuzi tayari.

Siamini katika CCM na wala siamini katika CDM, huwezi kuwa smart ukafanya siasa kupitia vyama hivi maana vyote vimejaa wahuni tu.
Unaweza na Pesa ya SUKARI wewe?
Ndugu acha kushupaza Shingo ukaanza kumsingizia Polepole! Sema tu ukweli Pesa za mama ABDUL msigwa kafika Bei!

CCM ya leo inanuka RUSHWA TUPU kipi Kimempeleka Msigwa CCM!

Tuelewe kwamba, SIASA za KIAFRIKA ni utapeli kama utapeli mwingine kwa kisingizio cha demokrasia.

SIASA NA DEMOKRASIA AFRIKA NI UHUNI NA UTAPELI, HII NDIYO SABABU KUBWA WANANCHI WENGI WANABAKI KUWA MASKINI NA WANASIASA NA DEMOKRASIA YAO YA KITAPELI WAKIPONDA RAHA KWA KODI ZA MASKINI.
 
Yametimia, kuna mtu nilibishana naye sana kuhusu huyu jamaa km miaka 3 nyuma.
Ngoja nimtumie acc namba aniingizie mtonyo wangu mana nilimbetia.

Siasa zetu zina tamaa, uongo, unafiki na kujiangalia matumbo yao. Tutasubiri sana ukombozi kwa wanasiasa cheap km hawa.!!
Si chadema wala ccm , wananchi wapo wenyewe wanatakiwa kulitambua hilo😁😁😁
 
Mchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC.

Alizaliwa Juni 8 1965, ni mwanasiasa Mtanzania aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Iringa Mjini (2015-2020)

Kwa sasa Mchungaji Msigwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.
View attachment 3029791

====

Kuhusu Mchungaji Msigwa kutaka kupewa Uwaziri na Hayati Magufuli soma: Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa
Divide and rule as usual.
 
Mkuu, nilikuwa namuunga Msigwa mkono hadi hii leo. Hapa naunga mkono yeye kuukosa ule uwenyekiti dhidi ya Sugu, kukosa nafasi ya uongozi sio sababu ya kukihama chama.
Ameniacha na tafakuri, lakini zaidi ni mtu asiyefaa.
Siamini kwenye kuunga mkono mtu au chama cha siasa ,naamini kwenye nguvu ya umma kwenye maamuzi ya kusimamia haki zao .
 
Mpina ruksa sasa kwenda Chadema
Feel free ni haki yako kidemokrasia kuhamia huko nenda tu mwana kwenda
 
Katika hili nawapongeza sana Chadema, huyu alikuwa pandikizi. Haiwezekani iwe kahamia ghafla.

Lakini, kwanini washikane mikono kama maharusi? Nimecheka sana.
'Unsettled'. Huyu alikuwa siku zote haeleweki yupo wapi hasa. Rekodi yake inajulikana toka zamani, pamoja na mazingaombwe ya hapa na pale, kama yale ya wakati wa Magufuli.

Kaacha mtikisiko CHADEMA?
Hofu yangu ni kwa Mwenyekiti tu basi. Vinginevyo, sioni CCM inavyoweza ku'survive', kwa kumvuta Msigwa.
 
Mchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC.

Alizaliwa Juni 8 1965, ni mwanasiasa Mtanzania aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Iringa Mjini (2015-2020)

Kwa sasa Mchungaji Msigwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.
View attachment 3029791

====

Kuhusu Mchungaji Msigwa kutaka kupewa Uwaziri na Hayati Magufuli soma: Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa
Ccm Wamelamba galasa
Hongera cdm kwa kubaini wasaliti na kuwanyima nafasi za uongozi
 
Back
Top Bottom