Pre GE2025 Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

Pre GE2025 Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watu waliowekeza maisha kwemye siasa,kuhama chama si jambo baya.Kikubwa maisha yaende
 
Si Bora angeamia kipindi cha shem wake jpm alambe uteuzi.
Sasa hivi Hana madhara chadema wala CCM.ndo historia yake imeisha hivo.
Ila niulize Tu hivi chadema ni chama cha siasa cha kuleta mageuzi nchini au ni genge Tu la wajanja janja.so far sijaona chama cha maana cha upinzani hapa tz.
Watanzania wengi akili sufuria maana ni wabinafsi Sana .
 
We mjinga sana, endelea basu na CCM yako, make imewafanya muwe mazuzu
Nmeikuta nmezaliwa ipo nmepambana na hali yangu ipo
hamtanikuta kwenye siasa mpaka itapokua inanifaidisha direct kama ilivyo kwa kina Madelu TAL na Msigwa
Wewe kama upo sjui CDM CCM hainihusu kwangu nyie wote walewale
 
Mchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC.

Alizaliwa Juni 8 1965, ni mwanasiasa Mtanzania aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Iringa Mjini (2015-2020)

Kwa sasa Mchungaji Msigwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.



====

Kuhusu Mchungaji Msigwa kutaka kupewa Uwaziri na Hayati Magufuli soma: Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa
View attachment 3029802
Msingwa katumwa ,yuko kazini.
 
Kuandamana unaandamana kwa sababu ya mwanasiasa? Hapa ndipo wabongo wengi tunapokwama. Tunadhani kuunga mkono harakati za haki ni kufaidisha wanasiasa. Unadhani ukikaa kimya unamkomoa nani? Ni wewe na familia yako na utakufa kibudu!
Nitajie mwanaharakati wa haki nmojawapo wa Kitanzania ambaye hana affiliation na political party yoyote
 
Ilitegemewa angehamia huko baada ya kubwagwa na sugu kisha akaanza kujambia ushuzi kunuka viongozi wakuu wa chadema. Aende tu wakapambane jimboni na jesca au atapewa wilaya huko mbeleni
 
Mchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC.

Alizaliwa Juni 8 1965, ni mwanasiasa Mtanzania aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Iringa Mjini (2015-2020)

Kwa sasa Mchungaji Msigwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.

Hivi karibuni 30 Mei 2024 Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu kama Sugu, alimshinda Mchungaji Peter Msigwa kwenye Cheo cha Uwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa.

Katika uchaguzi wa kanda hiyo uliofanyika ukumbi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makambako, ambao ulikuwa na mchuano mkali, Sugu aliibuka kidedea baada ya kupata kura 52 sawa na asilimia 51 dhidi ya Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa aliyepata kura 51 (asilimia 49). Matokeo hayo Mchungaji Msigwa hakukubaliana nayo kwa kile alichodai haki haikutendeka na alikata rufaa.

====

Kuhusu Mchungaji Msigwa kutaka kupewa Uwaziri na Hayati Magufuli soma: Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa
View attachment 3029802
Mbona msigwa anaonaona aibu kama yuko uchi
 
Back
Top Bottom