Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmeikuta nmezaliwa ipo nmepambana na hali yangu ipoWe mjinga sana, endelea basu na CCM yako, make imewafanya muwe mazuzu
Huwezi kujua ninayoyajua, endelea na yakoacha upotoshaji kamanda ulijulia wap?🐒
Mpina anaelekea wapi kama kweli wewe ni mjuaji 🤓
Msingwa katumwa ,yuko kazini.Mchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC.
Alizaliwa Juni 8 1965, ni mwanasiasa Mtanzania aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Iringa Mjini (2015-2020)
Kwa sasa Mchungaji Msigwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.
====
Kuhusu Mchungaji Msigwa kutaka kupewa Uwaziri na Hayati Magufuli soma: Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa
View attachment 3029802
Lisu hana muda anahama Chadema anaenda Wapi ni swala la muda tu na sio mrefu sana atatangazaWashajuwa chama cha kikanda hakiwafai.
Tunasubiri kumuona na Lissu akihamia ACT.
Nitajie mwanaharakati wa haki nmojawapo wa Kitanzania ambaye hana affiliation na political party yoyoteKuandamana unaandamana kwa sababu ya mwanasiasa? Hapa ndipo wabongo wengi tunapokwama. Tunadhani kuunga mkono harakati za haki ni kufaidisha wanasiasa. Unadhani ukikaa kimya unamkomoa nani? Ni wewe na familia yako na utakufa kibudu!
ACT si ndio mrithi wa CUF, kura zake ni ukanda wa Pwani, ukanda wa kobazi.Washajuwa chama cha kikanda hakiwafai.
Tunasubiri kumuona na Lissu akihamia ACT.
Mstari wenye maneno yaliyo nyooka barabara.Siamini kwenye kuunga mkono mtu au chama cha siasa ,naamini kwenye nguvu ya umma kwenye maamuzi ya kusimamia haki zao .
CUF ipo na inadunda.Act si ndio mrithi wa CUF, kura zake ni ukanda wa Pwani, ukanda wa kobazi.
Mbona msigwa anaonaona aibu kama yuko uchiMchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC.
Alizaliwa Juni 8 1965, ni mwanasiasa Mtanzania aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Iringa Mjini (2015-2020)
Kwa sasa Mchungaji Msigwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.
Hivi karibuni 30 Mei 2024 Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu kama Sugu, alimshinda Mchungaji Peter Msigwa kwenye Cheo cha Uwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa.
Katika uchaguzi wa kanda hiyo uliofanyika ukumbi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makambako, ambao ulikuwa na mchuano mkali, Sugu aliibuka kidedea baada ya kupata kura 52 sawa na asilimia 51 dhidi ya Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa aliyepata kura 51 (asilimia 49). Matokeo hayo Mchungaji Msigwa hakukubaliana nayo kwa kile alichodai haki haikutendeka na alikata rufaa.
====
Kuhusu Mchungaji Msigwa kutaka kupewa Uwaziri na Hayati Magufuli soma: Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa
View attachment 3029802