MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,294
- 4,920
Atakua Kijana wa 2000 😂️😂️😂️😂️Wewe ndio unajua leo? Pole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakua Kijana wa 2000 😂️😂️😂️😂️Wewe ndio unajua leo? Pole
Na wewe fungua fremu yako ha ha haNi ngumu sana watu wa CCM kuamini CCM ni kikundi cha watu wachache walioamua kutuslave.
Ni ngumu pia kwa watu wa CDM kuamini CDM ni kakikundi cha watu wachache watafuta hela walioamua kuwa na frame ya biashara nje ya CCM au bargaining chip kwa CCM kila wanapotaka hela.
Washajuwa chama cha kikanda hakiwafai.Yeye sio wa kwanza na hatakuwa wa mwisho kufanya hivyo. Mwache aende.😀😃😄😁
Simba hua anawinda kwa mvinu sahihi wakati wote,Kwa kifupi ujumbe wangu ni mfano hai siasa za Tz zilivyo ni siasa mfu,ni saccos za mikopo kuanzia Lumumba mpa ACT,no way.hatuwezi kuihama Nchi atakae mwahi mwezie na amle mazimaMbona hukusema siku za nyuma mmmmmm
Toka Magufuli atake kumlipia hela ya kutoka gerezani, sikuwahi kuwa na imani na Msigwa. Na toka wakati ule nilishaona kuwa yuko cdm kimwili, lakini kimapato yuko ccm. Acha aende ccm akale hela za uchaguzi, na aandaliwe vipindi vya kutosha vya kuiponda cdm wiki hizi 2 tatu. Baada ya hapo aanze kufuatilia malipo yake kwa kukubali kurudi ccm.
Dada wala usitumie nguvu,hawa wanasiasa wote ni chawa wa njano/kijani and sana sana wanaenda upinzini wakiwa wameahidiwa hela ndefu wakiona wametumika vya kutosha wana Hama,and atashinda ubunge plus uwaziri atapewa piaKatika hili nawapongeza sana Chadema, huyu alikuwa pandikizi. Haiwezekani iwe kahamia ghafla.
Lakini, kwanini washikane mikono kama maharusi? Nimecheka sana.
Kuvunjika kwa koleo sio mwisho wa uhunzi 🙄😳🤠Yeye sio wa kwanza na hatakuwa wa mwisho kufanya hivyo. Mwache aende.😀😃😄😁
Msigwa in, Mpina out 🐒Mchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC.
Alizaliwa Juni 8 1965, ni mwanasiasa Mtanzania aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Iringa Mjini (2015-2020)
Kwa sasa Mchungaji Msigwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.
View attachment 3029791
Kuandamana unaandamana kwa sababu ya mwanasiasa? Hapa ndipo wabongo wengi tunapokwama. Tunadhani kuunga mkono harakati za haki ni kufaidisha wanasiasa. Unadhani ukikaa kimya unamkomoa nani? Ni wewe na familia yako na utakufa kibudu!Ndo mana naonaga wana wote wanaofanya siasa halafu hawafaidiki ni Vilaza
mimi siwez kuandamana wala kumchangia mtu anunuliwe gari
au nianze kububujisha threads kumsifia mtu
NEVER
Hiyo ya kushindwa inaweza ikawa 'immediate cause '....ila 'long term cause ' ni pamoja na uongozi wa Chadema hasa 'Mbowe'.Mkuu, nilikuwa namuunga Msigwa mkono hadi hii leo. Hapa naunga mkono yeye kuukosa ule uwenyekiti dhidi ya Sugu, kukosa nafasi ya uongozi sio sababu ya kukihama chama.
Ameniacha na tafakuri, lakini zaidi ni mtu asiyefaa.
Utajaza mwenyewe habari ya mjini ni kuwa kahamia CCMIli iwe nini?
Na huo uchungaji ni wa kuitwa na Mungu na wakuwekewa mikono kweli au wa theology tu
acha upotoshaji kamanda ulijulia wap?🐒Kila la heri Msigwa, wenzako wote walijua hilo na wakanyamaza kimya, toka uwaalike Channel 10 na TBC ilijulikana
Umechelewa mno kaka, nasikitikia muda wako uliopoteza kuamini mwanasiasaKama ni kweli, basi ndio mwisho wangu wa kumuamini mwana siasa wa upinzani bongo.