Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Mbowe naye anasubiri kupewa maua yake. Zitto naye kamaliza kazi yake. Sasa tunaanza wanasiasa wadogo akina Nondo kuwakuza. Waje wawe mawe mazito.Nani alikwambia Tanzania kuna upinzani? Msigwa keshamaliza kazi yake na atapewa tuzo siku si nyingi.