Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya sasa Pesa za MAMA Abdul. Mlimsingizia Polepole ananunua wapinzani. Vip Kuhusu mgawo wa 10% za SUKARI za MAMA ABDUL
Nani alikwambia Tanzania kuna upinzani? Msigwa keshamaliza kazi yake na atapewa tuzo siku si nyingi.Kama ni kweli, basi ndio mwisho wangu wa kumuamini mwana siasa wa upinzani bongo.
Katema ndoano kipindi kigumu 🤣🤣🤣Kila la heri kwake.
Njaa mno bro. Yaani watu sio kuwa wanawatetea wananchi Bali wanatetea tumbo na maisha yao. Atakuwa anaunga juhudi dp worldKama ni kweli, basi ndio mwisho wangu wa kumuamini mwana siasa wa upinzani bongo.
Kanisa litajaa zaidi na hakutakua na kikwazo tena kuhusu yeye,it’s like haamini anaenda wapiMchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM)na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC.
View attachment 3029787
Sijaona Cha ajabu hapo...ndio maana ya siasaMchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM)na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC.
View attachment 3029787
Msigwa ni mwakirishi wa matapeli wa Iringa,wanaiba Mali za watu wanatapeli.maheka na maheka ya mashamba ya miti na pia kuchoma misitu ya Sao Hill ili watoboe,nitakuwa wa mwisho kuipenda Iringa.Nimewaona sio watu poa na msigwa aende na opotee mazimaSiku Walid Aman Kabouru alihamia CCM niliogopa. Nikajua ni mwisho wa CHADEMA. Kumbe ulikuwa mwisho wa Kabouru mwenyewe RIP
Hata lissu tutamchukua tu...ni swala la muda tuTundu Lisu njoo huku unafabya nini ubelgiji ? Habari za mjini ziko huku Tanzania
Acha kusikiliza BBC na CNN
Breaking news ziko Tanzania
Your comments please hili la Msigwa swahiba wako kukutoroka unasemaje?