Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Tukisha zionaKigogo Hana hizo picha
mandhari ya nyumba pameja ufisadi wa hali ya juu hayaendani naalivyokuwa anapigiwa debe raisi wa wanyonge,wamepigwa marufuku kuelekeza kamera kuleKuna watu walikuja na simu zao chato kupiga picha nyumbani kwa Mhe. JPM lakini wamekosa fursa hiyo. Media zetu pia Hadi Sasa hazijaweza kuonyesha chochote ndani ya geti la nyumba ya mzee isipokuwa kwa yale maeneo Azam na TBC waliyopewa Uhuru wakuyaonyesha.
Tumezoea kwenye matukio Kama haya Cha Kwanza kuonekana huwa nyumba na mandhari ya nje, tuliona kwa Mkapa hadi namna usafi ulivyofanyika baada ya kufariki lakini huku chato Hali ipo Tofauti. Nilitamani kuona walipoapa viongozi mbalimbali pamoja mandhari ila acha tu...no maphoto photo ndani ya himaya ya mzee. Jifunzeni kudhibiti watu wanaopenda kujua yasiyowahusu.
Hivi huwa mnawaza na nini? kama watu waliweza kupiga picha mwili ukiwa kwenye jeneza, Wangetaka kupiga hapo chato kingeshindikana kipi?? kwani hapo ni Vault za hazina??Kuna watu walikuja na simu zao chato kupiga picha nyumbani kwa Mhe. JPM lakini wamekosa fursa hiyo. Media zetu pia Hadi Sasa hazijaweza kuonesha chochote ndani ya geti la nyumba ya mzee isipokuwa kwa yale maeneo Azam na TBC waliyopewa Uhuru wa kuyaonesha.
Tumezoea kwenye matukio Kama haya cha Kwanza kuonekana huwa nyumba na mandhari ya nje, tuliona kwa Mkapa hadi namna usafi ulivyofanyika baada ya kufariki lakini huku chato hali ipo Tofauti. N
ilitamani kuona walipoapa viongozi mbalimbali pamoja mandhari ila acha tu...no maphoto photo ndani ya himaya ya mzee.
Jifunzeni kudhibiti watu wanaopenda kujua yasiyowahusu.
HahaaaUnakuta kijana wa Miaka 20 anavaa miwani inalenzi kali kama ya Darubini ya Maabara
Majibu mazuri sana,Baba jesca MagufuliNi nyumba ya kawaida haina mambo mengi!
Vaa barakoa siyo unashinda hapo Nkuhungu unauza zambarau tuMwanga wa Milele umuangazie ee bwana ...
Wewe ndiyo utaelewa maana mama haitaji tena wauza majungu kama wewe.Utaelewa tu
Kama hutaki kuvaa barakoa hesabu tu sikuBarakoa ipi inamzuia kirusi??
Umefika hapo wewe chaumbea?Ni nyumba ya kawaida haina mambo mengi!
Bila kuzingatia itifaki ya covid hiyo nafasi ya kwenda kuhiji wala hutoipataTutaenda kuhiji kwenye kaburi lake
JK master wa siasaView attachment 1734959
hapa ni awamu ya nne Kikwete akiwa Rais