Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri ktk intro yake kasema sababu ya umri anasahau sahau mpaka majina ya watoto wake huwa anamuuliza mke wake...hivyo anajijua!Mwinyi kanichekesha kweli hajui sehemu alipo mpaka kamuuliza maimamizi wake ndo kamwambia hapa ni chato
Vipo vyeo Vingci tu utavipata karibuMtu ashatwishwa na cheo cha baby fasta
Miaka 96Kwani miaka 91 ulidhani umri hujaenda?
Duh...96???Miaka 96
mbona umemdogoisha kiongozi, km sikosei ana kama 95 hiviKwani miaka 91 ulidhani umri hujaenda?
Leo naona upo kitengo cha kuandaa na kugawa misosiUzuri ktk intro yake kasema sababu ya umri anasahau sahau mpaka majina ya watoto wake huwa anamuuliza mke wake...hivyo anajijua!
What a man..!
Haiendi tena ziwa victoria hivyo vumilia tuNaiona siti ya makamu wa rais ikiwa empty....
Ndiyo maana analazimika kusoma hotuba maana hakawii kuchomoa betrikwa umri wa Mzee Mwinyi ameishakuwa senile , anatakiwa aongozwe otherwise atatia aibu
Inaenda ufipa eeehHaiendi tena ziwa victoria hivyo vumilia tu
Ndiyo wapi huko?Inaenda ufipa eeeh