Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli azikwa Chato mkoani Geita

Namsikiliza hapa anayoyaongelea, kubwa zaidi anasema Rais hatakiwi 'kuongeza wala kupunguza' yale yaliyopangwa kutekelezwa.

Anasisitiza 'YAMEANDIKWA' kwamba 'pitia zile kurasa 303'. Je, hapa Rais Samia atakuwa bendera fata upepo au nivipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…