barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Miaka 96 sio mchezo...ni baraka toka kwa Mungu, ila kimwili bado yuko fiti sana. Hatumii msaada wowote kutembea na wala mgongo hujapinda...Mungu atamjalia anatoboa karne huyu.Uzee ni baraka sana. Mungu azidi kumuweka hai Mzee Mwinyi
Kinondoni...Ndiyo wapi huko?
Cha msingi sukhuuuma gang mmekwama sana this time
Miaka 96 sio mchezo...ni baraka toka kwa Mungu, ila kimwili bado yuko fiti sana. Hatumii msaada wowote kutembea na wala mgongo hujapinda.
Miaka 96 sio mchezo...ni baraka toka kwa Mungu, ila kimwili bado yuko fiti sana. Hatumii msaada wowotw kutembea na wala mgongo hujapinda.
Mzee mwinyi amejua kuchekesha hasa anapomuuliza mke wake kuwa kasahau eneo alilopo. Kwa age yake kiukweli dah ni bahati sana kufika huko.
[emoji3][emoji3064][emoji23]Hahahaaa JF nyok* .....
Unamseti Mshana eti
Nakuja[emoji8][emoji8][emoji39][emoji39]Mie hapa babby nambie nimetoka nje Kidogo sema my
Sana yani burudani kabisa kumsikiliza hata Chato hapajui.Ha ha ha ha Rais Mwinyi kaleta burudani sana
HahahahahhaaahBibi yangu hata watoto wake wakienda anaanza kuuliza "wewe ni mtoto wa nani"?
Na havai miwani. YAni anasoma bila miwani. Ni neema kubwa sanaWatu wafupi hawazeeki hovyo hovyo maisha yakiwa mazuri
Mtazame Malkia Elizabeth alivyo strong akiwa Umri wa Mzee Mwinyi