barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Miaka 96 sio mchezo...ni baraka toka kwa Mungu, ila kimwili bado yuko fiti sana. Hatumii msaada wowote kutembea na wala mgongo hujapinda...Mungu atamjalia anatoboa karne huyu.Uzee ni baraka sana. Mungu azidi kumuweka hai Mzee Mwinyi