Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli azikwa Chato mkoani Geita

Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli azikwa Chato mkoani Geita

Hahaha naona leo mama samia kaambiwa kwa kibari chako Sir wakati anakabiziwa bendera mjane ....tutaona mengi awamu hii ya 6.
 
Ina maana unaweza kulifungua na kuacha shimo wazi au linafit fit vipi hadi lisitoke tena??
Kuna kuwa na slabs ambazo zimetengezeza kulingana ramani ya Kaburi, baada ya hapo kuna motor inapitishwa kwenye kila joints za hizo slabs. Hivyo kulifungua inakuwa sio vyepesi.

Ujenzi wanamna hiyo unasaidia sana kuepusha ubomoji usiwe ule wa hovyohovyo kama itahitajika kupata mabaki ya mwili kwasababu zozote zile zitakazojitokeza.
 
1616770158804.png
 
Kuna kuwa na slabs ambazo zimetengezeza kulingana ramani ya Kaburi, baada ya hapo kuna motor inapitishwa kwenye kila joints za hizo slabs. Hivyo kulifungua inakuwa sio vyepesi.

Ujenzi wanamna hiyo unasaidia sana kuepusha ubomoji usiwe ule wa hovyohovyo kama itahitajika kupata mabaki ya mwili kwasababu zozote zile zitakazojitokeza.
Kwahyo ndan hawajajaza maudongo kama wanyonge tunavyozikwa?
 
Kuna watu walikuja na simu zao Chato kupiga picha nyumbani kwa Mhe. JPM lakini wamekosa fursa hiyo. Media zetu pia Hadi Sasa hazijaweza kuonesha chochote ndani ya geti la nyumba ya mzee isipokuwa kwa yale maeneo Azam na TBC waliyopewa Uhuru wa kuyaonesha.

Tumezoea kwenye matukio Kama haya cha Kwanza kuonekana huwa nyumba na mandhari ya nje, tuliona kwa Mkapa hadi namna usafi ulivyofanyika baada ya kufariki lakini huku chato hali ipo Tofauti. N

ilitamani kuona walipoapa viongozi mbalimbali pamoja mandhari ila acha tu...no maphoto photo ndani ya himaya ya mzee.

Jifunzeni kudhibiti watu wanaopenda kujua yasiyowahusu.
Safiiiiiiiiiii sanaaaaaaaa.
 
Back
Top Bottom