Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Mashishi ndiyo nini na lugha gani wanangu?Wakuu hii inakaaje, kwamba nimeona kaburi mbili, moja ikiwa imekamirika ambayo inapicha yake,na wakati huo sehem nyinginea ipo wazi ambapo viongozi wameweka mchanga , kwangu haya ni mazalau KWA watz KWA nini , ??