Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola adaiwa kuwa chini ya ulinzi

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola aitwa na TAKUKURU kwa ajili ya mahojiano juu ya tuhuma za kuingia mkataba wa kimangungo wa zaidi ya Shilingi Trillioni moja.
Kangi hoyeeee! Huyu jamaa alijishaua sana. Acha ahojiwe ikiwezekana afungwe kabisa.
 
Kumbe nawewe kuna yanayokuumiza
 
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola aitwa na TAKUKURU kwa ajili ya mahojiano juu ya tuhuma za kuingia mkataba wa kimangungo wa zaidi ya Shilingi Trillioni moja.
Na wewe unaamini kuwa kuna chochote kitafanyika? Kule atafika na kunywa juice tu, mbona mawaziri kibao wameshatumbuliwa na hawashtakiwi!!!
 
Kuna wengi tu walipashwa kuburuzwa mahakamani kama akina George Simbachawene, Charles Kitwanga, Medard Kalemani, Kafumu, Makonda na wengine wengi lkn kwa kuwa double standard ndio sera, bado wako salama.

Hatuambiwi ni kwa nini manunuzi mengi tu tena ya hela nyingi yanafanyikia ikulu bila hata bunge kuidhinisha na hatujui ni kwa vipi haya ndio yamevaliwa njuga kiasi hicho.
 

Kwani wewe mkeo akikuomba ruhusa anaenda kwenye party ukamruhusu akifanya mapenzi huko kosa linakuwa lako au la kwake? Na ukijua hutachukua hatua dhidi yake kwa kuwa ulimruhusu wewe mwenyewe? Tumia akiri, hata kama aliruhusiwa hakutakiwa kuandaa mikataba ya hovyo.
 
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola aitwa na TAKUKURU kwa ajili ya mahojiano juu ya tuhuma za kuingia mkataba wa kimangungo wa zaidi ya Shilingi Trillioni moja.
Aende tu,na isiishie kwenye mahojiano tu, aswekwe ndani na atemeshwe hela yetu,we are fed up with these people.Kwanza sioni hata mantiki ya mahojiano,ushahidi wote si upo?
 
Ni kumpa pole tu .. Sidhani kama atachomoka hapa.
 
Ilikuwaje Magufuli akamteua mtu aliewahi shitakiwa kwa kula Rushwa ? Ila Magufuli nae anatuangusha sana.
We MaMa kimekukuta nini..!?

Praise team..!!
Hahha

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wewe naye ni mlokole?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…