tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Ashindwe mwenyewe maana tayari ameishaandaliwa njia ya kupita, tena visiki vyote vimeng'oliewa na imetiwa lami.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ashindwe mwenyewe maana tayari ameishaandaliwa njia ya kupita, tena visiki vyote vimeng'oliewa na imetiwa lami.
unaona sasa ,bado haujaelewa, okey ni hivi inakuwaje kangi anatengeneza dili mpaka linaiva na kupakuliwa ilihali usalama wa taifa upo, je hawaezi kutoa taarifa za awali jambo likazuiliwa mapema , inakuwaje watu wanapiga kabisa nyie ndio mstuke, kangi hakupaswa kuchunguzwa na TAKUKURU , lilikuwa ni jukumu la Tiss kumtia hatiani moja kwa moja, huu mzunguko wa sasa umekaa kisiasa zaidi, nadhani utakuwa umenipata japo kidogo misingi ya swali langu,weledi wa hizo idara upi ni :'(bora?)Sasa kama unafahamu tupe jibu ujuaji mwingi mbele giza ngoja Kangi apekuliwe Kwanza atakuja kukupa majibu ipi mbivu ipi mbichi
Stay tuned knyamaupanga station
nadhani umezingatia sana weledi okey nimekusoma kihivyo mkuu,
Hatuna balozi wetu Romania?unaona sasa ,bado haujaelewa, okey ni hivi inakuwaje kangi anatengeneza dili mpaka linaiva na kupakuliwa ilihali usalama wa taifa upo, je hawaezi kutoa taarifa za awali jambo likazuiliwa mapema , inakuwaje watu wanapiga kabisa nyie ndio mstuke, kangi hakupaswa kuchunguzwa na Takukuru , lilikuwa ni jukumu la Tiss kumtia hatiani moja kwa moja, huu mzunguko wa sasa umekaa kisiasa zaidi, nadhani utakuwa umenipata japo kidogo misingi ya swali langu,weledi wa hizo idara upi ni :'(bora?)
balozi wenu wewe na nani? sijaelewa misingi ya kijiswali chakoHatuna balozi wetu Romania?
unaona sasa ,bado haujaelewa, okey ni hivi inakuwaje kangi anatengeneza dili mpaka linaiva na kupakuliwa ilihali usalama wa taifa upo, je hawaezi kutoa taarifa za awali jambo likazuiliwa mapema , inakuwaje watu wanapiga kabisa nyie ndio mstuke, kangi hakupaswa kuchunguzwa na Takukuru , lilikuwa ni jukumu la Tiss kumtia hatiani moja kwa moja, huu mzunguko wa sasa umekaa kisiasa zaidi, nadhani utakuwa umenipata japo kidogo misingi ya swali langu,weledi wa hizo idara upi ni :'(bora?)
Noted chief zote ni Bora na hapo kila moja inafanya kile inapaswa kufanywa kulingana na Sheria na majukumu ya Taasisi husika.unaona sasa ,bado haujaelewa, okey ni hivi inakuwaje kangi anatengeneza dili mpaka linaiva na kupakuliwa ilihali usalama wa taifa upo, je hawaezi kutoa taarifa za awali jambo likazuiliwa mapema , inakuwaje watu wanapiga kabisa nyie ndio mstuke, kangi hakupaswa kuchunguzwa na Takukuru , lilikuwa ni jukumu la Tiss kumtia hatiani moja kwa moja, huu mzunguko wa sasa umekaa kisiasa zaidi, nadhani utakuwa umenipata japo kidogo misingi ya swali langu,weledi wa hizo idara upi ni :'(bora?)
Akifika magereza lazima wamuambie kata mauno mzeeHuyu mkata mauno ndiyo aliwahi kumchimba biti askari magereza mmoja kwa mbwembwe sasa akipatikana na kesi halafu akatua kwenye gereza analosimamia yule jamaa sijui itakuwaje!
Sent using Jamii Forums mobile app
Akifika magereza lazima wamuambie kata mauno mzee
Ni Mungu pekee ambaye ni alfa na omega, ambaye hawezi kutwa na chochote hapa dunianiHata boss wa Lugola naye siku moja yatamkuta na yeye tusubiri.
Alipoandika barua ndio rais akashtuka.....nafikiri ndio imekaa hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kawaida tu hata wanaowasifu kina Mbowe kuna ambayo huwapata baadaeKarma knows everyone address, Karma is a bitch.
Hili la Lugola ni mfano mzuri sana, alisifia saaana leo aliyekuwa anamsifia ndio anaelekea kumuweka rumande.
Alio wanyanyasa Leo Yeye ndio anawasikiliza, hana mamlaka ya kuamrisha hata mgambo wa Jiji