Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
ππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia soma uelewe unaambiwa alikuwa chini ya ulinzi hospitalini.Je, Amekufa kifo cha kawaida (natural death) au kuna mkono wa mtu??
Ni kwa nini siku zote hizo alikuwa bado yupo mahabusu ya Jeshi la Polisi badala ya kupekekwa katika Gereza la Mahabusu chini ya Jeshi la Magereza?????
Kuna mahabusu hospitalini? Mbona bwege hivyo?Naona Mahabusu imeamua kumuua, π€
Hatimaye amefanikiwa kufa.Polisi wamemkamata akiwa amekunywa sumu ili ajiue, wakawahi kumpeleka hospital,, nadhani hiyo ndiyo iliyomuathiri Hadi kupelekea kifo chake
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Asante sana kwa mchango wako,K
Kuna mahabusu hospitalini? Mbona bwege hivyo?
Pengine alipata nafasi ya kufanya Toba ya kweli, Mungu amemrehemu...Akapmbane na adhabu zake huko aendako
Huyu si walimkamata alikuwa kwenye hRakati za kutaka kajiuaJe, Amekufa kifo cha kawaida (natural death) au kuna mkono wa mtu??
Ni kwa nini siku zote hizo alikuwa bado yupo mahabusu ya Jeshi la Polisi badala ya kupekekwa katika Gereza la Mahabusu chini ya Jeshi la Magereza?????
Kataa ndoa point 3 nyingine washapataMigogoro katika familia na jamii kwa ujumla kafara inakuwa kwa watoto!
Bahati mbaya mtuhumiwa amefariki ikiwa upande wa pili wa mgogoro haukasikilizwa, na kuna uwezekano hatia kwa upande wake ilikua ni ndogo?
Alijuwa ataenda kuishia kwenye majumba ya serikali tuJamaa kweli kifo alikipenda baada ya majaribio ya sumu na nini mwisho amekufa mwenyewe tu!
Hawa ndio wale vijana makatiri walio kuwa wanakodishwa enzi zile.View attachment 2859936
Pichani bw. Lucas Paul Tarimo anayetuhumiwa kusababisha umauti wa Beatrice Minja kwa kumchoma visu mara 25 mwilini. Naye inasemekana ameaga dunia leo alfajiri.
Sababu za kifo chake hazijawekwa wazi lakini inasemekana alipokuwa anakaribia kukamatwa alikunywa sumu. Inasemekana alipatiwa huduma ya kwanza kutapishwa sumu hiyo lakini amefariki baadaye.
Source: ndugu wa mtuhumiwa
Subira labda ushahidi ungekosekana au gereza lingevunjika!Alijuwa ataenda kuishia kwenye majumba ya serikali tu
Bora ajimalize
Ova
Visu 25 dah hatari sanaView attachment 2859929
Mtuhumiwa anayedaiwa kusababisha kifo cha Beatrice Minja kwa kumchoma visu mara 25, Lucas Tarimo amafariki dunia akiwa chini ya ulinzi wa Jeshi la Polisi wakati akiendelea na matibabu katika hospitali ya Huruma iliyopo Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro.
Daktari kiongozi wa Hospitali ya Huruma wilayani hapa, Daria Mushi amethibitisha kutokea kwa kifo chake ambapo amesema amefariki jana Jumatatu, Januari Mosi, 2024 saa nne na nusu usiku.
Visu 25 dah hatari sana, ni hasira zimlimzidi akili au hisia zilimnyima utulivu mpaka afanye jambo kubwaView attachment 2859929
Mtuhumiwa anayedaiwa kusababisha kifo cha Beatrice Minja kwa kumchoma visu mara 25, Lucas Tarimo amafariki dunia akiwa chini ya ulinzi wa Jeshi la Polisi wakati akiendelea na matibabu katika hospitali ya Huruma iliyopo Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro.
Daktari kiongozi wa Hospitali ya Huruma wilayani hapa, Daria Mushi amethibitisha kutokea kwa kifo chake ambapo amesema amefariki jana Jumatatu, Januari Mosi, 2024 saa nne na nusu usiku.
Kujiendekeza tu, Mapenzi mazuri yakiwa matamu.. Mkianza kugombana achaneni mapema kwa amani. Tatizo sisi binadamu wabishi sanaMapenzi ni mabaya Sana.
Kabisa mkuu, Shida huazia hapa, Kati yao mwingine kuingia mazima alafu anajisahau kama kuna kuachana kisha anawekeza vitu vingi kuliko hata kwa wazazi wake.Kujiendekeza tu, Mapenzi mazuri yakiwa matamu.. Mkianza kugombana achaneni mapema kwa amani. Tatizo sisi binadamu wabishi sana