Aliyemchoma Mwanamke visu 25 na kumsababisha Kifo afariki dunia akiwa chini ya ulinzi

Aliyemchoma Mwanamke visu 25 na kumsababisha Kifo afariki dunia akiwa chini ya ulinzi

Migogoro katika familia na jamii kwa ujumla kafara inakuwa kwa watoto!
Bahati mbaya mtuhumiwa amefariki ikiwa upande wa pili wa mgogoro haukasikilizwa, na kuna uwezekano hatia kwa upande wake ilikua ni ndogo?
 
Jamaa kweli kifo alikipenda baada ya majaribio ya sumu na nini mwisho amekufa mwenyewe tu!
 
Je, Amekufa kifo cha kawaida (natural death) au kuna mkono wa mtu??
Ni kwa nini siku zote hizo alikuwa bado yupo mahabusu ya Jeshi la Polisi badala ya kupekekwa katika Gereza la Mahabusu chini ya Jeshi la Magereza?????
Huyu si walimkamata alikuwa kwenye hRakati za kutaka kajiua

Ova
 
View attachment 2859936
Pichani bw. Lucas Paul Tarimo anayetuhumiwa kusababisha umauti wa Beatrice Minja kwa kumchoma visu mara 25 mwilini. Naye inasemekana ameaga dunia leo alfajiri.

Sababu za kifo chake hazijawekwa wazi lakini inasemekana alipokuwa anakaribia kukamatwa alikunywa sumu. Inasemekana alipatiwa huduma ya kwanza kutapishwa sumu hiyo lakini amefariki baadaye.

Source: ndugu wa mtuhumiwa
Hawa ndio wale vijana makatiri walio kuwa wanakodishwa enzi zile.

Vijana wa Chama la wana.
 
View attachment 2859929
Mtuhumiwa anayedaiwa kusababisha kifo cha Beatrice Minja kwa kumchoma visu mara 25, Lucas Tarimo amafariki dunia akiwa chini ya ulinzi wa Jeshi la Polisi wakati akiendelea na matibabu katika hospitali ya Huruma iliyopo Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro.

Daktari kiongozi wa Hospitali ya Huruma wilayani hapa, Daria Mushi amethibitisha kutokea kwa kifo chake ambapo amesema amefariki jana Jumatatu, Januari Mosi, 2024 saa nne na nusu usiku.
Visu 25 dah hatari sana
 
View attachment 2859929
Mtuhumiwa anayedaiwa kusababisha kifo cha Beatrice Minja kwa kumchoma visu mara 25, Lucas Tarimo amafariki dunia akiwa chini ya ulinzi wa Jeshi la Polisi wakati akiendelea na matibabu katika hospitali ya Huruma iliyopo Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro.

Daktari kiongozi wa Hospitali ya Huruma wilayani hapa, Daria Mushi amethibitisha kutokea kwa kifo chake ambapo amesema amefariki jana Jumatatu, Januari Mosi, 2024 saa nne na nusu usiku.
Visu 25 dah hatari sana, ni hasira zimlimzidi akili au hisia zilimnyima utulivu mpaka afanye jambo kubwa
 
Kujiendekeza tu, Mapenzi mazuri yakiwa matamu.. Mkianza kugombana achaneni mapema kwa amani. Tatizo sisi binadamu wabishi sana
Kabisa mkuu, Shida huazia hapa, Kati yao mwingine kuingia mazima alafu anajisahau kama kuna kuachana kisha anawekeza vitu vingi kuliko hata kwa wazazi wake.
 
Back
Top Bottom