Aliyemchoma Mwanamke visu 25 na kumsababisha Kifo afariki dunia akiwa chini ya ulinzi

akiendelea kupatiwa matitabu ya nini sasa, ya ugonjwa gani mbona hawafunguki? au ndio hiyo sumu waliyosema alijaribu kunywa ajiue.
 
Utam wa papuchii hautawaacha salama kina kaka
 
Kama na yeye kajiuwa basi sio mbaya wameona wafe wote usiku
Tunawatakia safari njema ila nyie wachaga mungu anawaona jaman
 
Je, Amekufa kifo cha kawaida (natural death) au kuna mkono wa mtu??
Ni kwa nini siku zote hizo alikuwa bado yupo mahabusu ya Jeshi la Polisi badala ya kupekekwa katika Gereza la Mahabusu chini ya Jeshi la Magereza?????
Alikuwa bado hajakamatwa, ni baada ya wanaharakati wa mitandaoni kupiga kelele sana ndio akakamatwa.
 
kama mtu ashakutana na vijana wa hovyo kama hawa ataelewa kuna walakini sehemu kuna familia moja dada wa kijana huyo wa hovyo wana ukwasi na bahati kubwa serikalini na vyeo kedekede(wachaga jirani na huko rombo)kijana huyo wa hovyo majirani wameishia kumuogopa nakata watu masikio mara kabaka anafichwa kesi zinishia kwa majaji kwa rufaa mtuhumiwa anarudi tena kijijini anaharibu nyumani kwa majirani lakini anapata backup ya ahera...hafanywi chochote hakamatwi ni kujificha kidogo na kuibuka tena....na huyu kuna walakini kuna watu wanaompa backup ya kuendeleza ukichaa huo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…