Aliyemshauri Mbowe agombee alidhamiria kumdhalilisha na kukiua Chama

Aliyemshauri Mbowe agombee alidhamiria kumdhalilisha na kukiua Chama

Kwema Kabisa!

Mbowe itampasa amkumbuke aliyemshauri aendelee kugombea.
Familia yake ilimshauri apumzike, kwa mujibu wa maelezo yake. Ni kwa sababu inampenda na kutaka heshima yake idumu.

Lakini kuna kundi jingine ambalo likamshauri vibaya agombee ili adhalilishwe, heshima yake kushuka, na chama kumfia Mikononi.

Embu fikiria Miaka zaidi ya 30 Mbowe amepigana kufa na kupona kujenga jina na heshima ya brand yake.

Leo hii Mbowe ni wakuitwa Nkurunzinza,
Leo hii Mbowe ni wakuitwa Ayatollah, kweli?

Haya Leo hii Yule Mbowe mwenye jina Kubwa anakuwa kama underground, au underdog kumkabili Lisu mtu aliyemlea Mwenyewe kisiasa? KWELI!

Leo hii Mbowe ni wakushindwa ushawishi kwenye jamii kwa zaidi ya asilimia 80% kila polls zikiitishwa. KWELI?

Heshima iliyojengwa kwa miaka nenda Rudi Leo inavurugika na kupotea kwa Siku chache tuu. Kisa uchaguzi?

Leo hii Mbowe ni wakukataliwa na Robo tatu ya Jamii Forum ambao ni mtandao wa ndani katika nchi yetu. Mtandao unaojitambulisha kama home of Great thinker. KWELI?

Nini kina thamani zaidi ya Heshima? Kitu gani hicho.
Kama ni pesa tayari Mbowe anazo. Nani alimshauri aiweke rehani Heshima yake.

Nani huyo aliyemshauri Mbowe ashindane na Wakati?
Tangu lini mtu akashindana na wakati akashinda zaidi ya kudhalilika na heshima yake kudondoka?

Mfalme Sauli naye heshima yake ilianguka, kwa kushindwa kutambua matumizi ya wakati.
Akawa anapambana na Daudi, kijana mdogo.
Heshima yake yote ikadondoka. Hata Yale mazuri yote aliyoyafanya Sauli Akiwa mfalme yakafutika.

Nawatakia siku njema

View: https://www.instagram.com/p/DEFgcbnKOvE/?igsh=a21sZGp6ZmplODk4
 
Kwema Kabisa!

Mbowe itampasa amkumbuke aliyemshauri aendelee kugombea.
Familia yake ilimshauri apumzike, kwa mujibu wa maelezo yake. Ni kwa sababu inampenda na kutaka heshima yake idumu.

Lakini kuna kundi jingine ambalo likamshauri vibaya agombee ili adhalilishwe, heshima yake kushuka, na chama kumfia Mikononi.

Embu fikiria Miaka zaidi ya 30 Mbowe amepigana kufa na kupona kujenga jina na heshima ya brand yake.

Leo hii Mbowe ni wakuitwa Nkurunzinza,
Leo hii Mbowe ni wakuitwa Ayatollah, kweli?

Haya Leo hii Yule Mbowe mwenye jina Kubwa anakuwa kama underground, au underdog kumkabili Lisu mtu aliyemlea Mwenyewe kisiasa? KWELI!

Leo hii Mbowe ni wakushindwa ushawishi kwenye jamii kwa zaidi ya asilimia 80% kila polls zikiitishwa. KWELI?

Heshima iliyojengwa kwa miaka nenda Rudi Leo inavurugika na kupotea kwa Siku chache tuu. Kisa uchaguzi?

Leo hii Mbowe ni wakukataliwa na Robo tatu ya Jamii Forum ambao ni mtandao wa ndani katika nchi yetu. Mtandao unaojitambulisha kama home of Great thinker. KWELI?

Nini kina thamani zaidi ya Heshima? Kitu gani hicho.
Kama ni pesa tayari Mbowe anazo. Nani alimshauri aiweke rehani Heshima yake.

Nani huyo aliyemshauri Mbowe ashindane na Wakati?
Tangu lini mtu akashindana na wakati akashinda zaidi ya kudhalilika na heshima yake kudondoka?

Mfalme Sauli naye heshima yake ilianguka, kwa kushindwa kutambua matumizi ya wakati.
Akawa anapambana na Daudi, kijana mdogo.
Heshima yake yote ikadondoka. Hata Yale mazuri yote aliyoyafanya Sauli Akiwa mfalme yakafutika.

Nawatakia siku njema
Mama Abdul ndiye mshauri wake mkuu hata hela za kuhonga wajumbe zimetoka kwa Abdul.
 
Kwema Kabisa!

Mbowe itampasa amkumbuke aliyemshauri aendelee kugombea.
Familia yake ilimshauri apumzike, kwa mujibu wa maelezo yake. Ni kwa sababu inampenda na kutaka heshima yake idumu.

Lakini kuna kundi jingine ambalo likamshauri vibaya agombee ili adhalilishwe, heshima yake kushuka, na chama kumfia Mikononi.

Embu fikiria Miaka zaidi ya 30 Mbowe amepigana kufa na kupona kujenga jina na heshima ya brand yake.

Leo hii Mbowe ni wakuitwa Nkurunzinza,
Leo hii Mbowe ni wakuitwa Ayatollah, kweli?

Haya Leo hii Yule Mbowe mwenye jina Kubwa anakuwa kama underground, au underdog kumkabili Lisu mtu aliyemlea Mwenyewe kisiasa? KWELI!

Leo hii Mbowe ni wakushindwa ushawishi kwenye jamii kwa zaidi ya asilimia 80% kila polls zikiitishwa. KWELI?

Heshima iliyojengwa kwa miaka nenda Rudi Leo inavurugika na kupotea kwa Siku chache tuu. Kisa uchaguzi?

Leo hii Mbowe ni wakukataliwa na Robo tatu ya Jamii Forum ambao ni mtandao wa ndani katika nchi yetu. Mtandao unaojitambulisha kama home of Great thinker. KWELI?

Nini kina thamani zaidi ya Heshima? Kitu gani hicho.
Kama ni pesa tayari Mbowe anazo. Nani alimshauri aiweke rehani Heshima yake.

Nani huyo aliyemshauri Mbowe ashindane na Wakati?
Tangu lini mtu akashindana na wakati akashinda zaidi ya kudhalilika na heshima yake kudondoka?

Mfalme Sauli naye heshima yake ilianguka, kwa kushindwa kutambua matumizi ya wakati.
Akawa anapambana na Daudi, kijana mdogo.
Heshima yake yote ikadondoka. Hata Yale mazuri yote aliyoyafanya Sauli Akiwa mfalme yakafutika.

Nawatakia siku njema
Mpasuko umekuja pale mbowe alipotangaza kuwa atagombea
 
Mpasuko umekuja pale mbowe alipotangaza kuwa atagombea

Yeye hakuwa na sababu ya kugombea baada ya kuona Hali ilivyo.
Kama wanahofu na Lisu, wangetafuta mtu mwingine ambaye wao na team Mbowe wangemuunga Mkono mtu huyo kivyovyote

Lakini Mbowe nafikiri hakufikiri vizuri. Hata akishinda bado Chama kimepoteza.
Akishindwa ni aibu. Yaani kote ni Hasara
 
Waliomshauri ni maadui zake kikamilifu Hilo huhitaji kuvaa Miwani ya macho kuliona
Kuna mtu wa Ikulu nilikutana naye July akaniambia wao wanachotaka Lisu asigombee 2025 uRais maana ana mvuto kwa wananchi akasema watahakikisha Mbowe na Lisu hawakai pamoja tena sababu Mbowe hana mvuto kwa jamii, nilichukulia ni utani kumbe ilikuwa ni kweli matokeo ake ndiyo hayo nayaona.
 
Yeye hakuwa na sababu ya kugombea baada ya kuona Hali ilivyo.
Kama wanahofu na Lisu, wangetafuta mtu mwingine ambaye wao na team Mbowe wangemuunga Mkono mtu huyo kivyovyote

Lakini Mbowe nafikiri hakufikiri vizuri. Hata akishinda bado Chama kimepoteza.
Akishindwa ni aibu. Yaani kote ni Hasara
Machawa ndo wamempoteza.
Coz hao ndo wamemdanganya kuwa hana mpinzani.
 
Kwema Kabisa!

Mbowe itampasa amkumbuke aliyemshauri aendelee kugombea.
Familia yake ilimshauri apumzike, kwa mujibu wa maelezo yake. Ni kwa sababu inampenda na kutaka heshima yake idumu.

Lakini kuna kundi jingine ambalo likamshauri vibaya agombee ili adhalilishwe, heshima yake kushuka, na chama kumfia Mikononi.

Embu fikiria Miaka zaidi ya 30 Mbowe amepigana kufa na kupona kujenga jina na heshima ya brand yake.

Leo hii Mbowe ni wakuitwa Nkurunzinza,
Leo hii Mbowe ni wakuitwa Ayatollah, kweli?

Haya Leo hii Yule Mbowe mwenye jina Kubwa anakuwa kama underground, au underdog kumkabili Lisu mtu aliyemlea Mwenyewe kisiasa? KWELI!

Leo hii Mbowe ni wakushindwa ushawishi kwenye jamii kwa zaidi ya asilimia 80% kila polls zikiitishwa. KWELI?

Heshima iliyojengwa kwa miaka nenda Rudi Leo inavurugika na kupotea kwa Siku chache tuu. Kisa uchaguzi?

Leo hii Mbowe ni wakukataliwa na Robo tatu ya Jamii Forum ambao ni mtandao wa ndani katika nchi yetu. Mtandao unaojitambulisha kama home of Great thinker. KWELI?

Nini kina thamani zaidi ya Heshima? Kitu gani hicho.
Kama ni pesa tayari Mbowe anazo. Nani alimshauri aiweke rehani Heshima yake.

Nani huyo aliyemshauri Mbowe ashindane na Wakati?
Tangu lini mtu akashindana na wakati akashinda zaidi ya kudhalilika na heshima yake kudondoka?

Mfalme Sauli naye heshima yake ilianguka, kwa kushindwa kutambua matumizi ya wakati.
Akawa anapambana na Daudi, kijana mdogo.
Heshima yake yote ikadondoka. Hata Yale mazuri yote aliyoyafanya Sauli Akiwa mfalme yakafutika.

Nawatakia siku njema
Siyo suala la kutogombea, kwa nini wewe unaona Mbowe hatakiwi kugombea, hizo hadithi siyo za lweli. Yeyote mwenye nia aweke nia yake na watu wamchague au wamkatae, bila ya hvyo inaleta utata.
 
Ni mamluki ya CCM yaliyopo chadema yanajua kazi yanayoifanya.
 
Siyo suala la kutogombea, kwa nini wewe unaona Mbowe hatakiwi kugombea, hizo hadithi siyo za lweli. Yeyote mwenye nia aweke nia yake na watu wamchague au wamkatae, bila ya hvyo inaleta utata.

Mkuu Mbowe kugombea huoni athari zake hata huku kwenye mitandao ya kijamii?

Vipi uliwa kupiga vijiweni ukajaribu kufuatilia watu wa kawaida wanazungumzaje kuhusu Mbowe kuendelea kugombea?

Hapo ndipo ule msemo usemao: Mtumbuizaji mahiri hujua wakati sahihi wa kuondoka Jukwaani. Hata kama hadhira inamshangilia"
Ni suala la AKILI tuu
 
Mkuu Mbowe kugombea huoni athari zake hata huku kwenye mitandao ya kijamii?

Vipi uliwa kupiga vijiweni ukajaribu kufuatilia watu wa kawaida wanazungumzaje kuhusu Mbowe kuendelea kugombea?

Hapo ndipo ule msemo usemao: Mtumbuizaji mahiri hujua wakati sahihi wa kuondoka Jukwaani. Hata kama hadhira inamshangilia"
Ni suala la AKILI tuu
Uchaguzi ndiyo kipimo cha mtu kushindwa. Uchaguzi uwe wa haki. Zaidi ya hilo ni utata.
Uchaguzi siyo watu wawili hata kumi, atatokea mshindi. Kwa nini umzuie mtu asigombee? Agombee na watu wamkatae. Akikataliwa kihali anakua hana hoja ya utata. Hasa uchaguzi juwe wa haki.
 
Uchaguzi ndiyo kipimo cha mtu kushindwa. Uchaguzi uwe wa haki. Zaidi ya hilo ni utata.
Uchaguzi siyo watu wawili hata kumi, atatokea mshindi. Kwa nini umzuie mtu asigombee? Agombee na watu wamkatae. Akikataliwa kihali anakua hana hoja ya utata. Hasa uchaguzi juwe wa haki.

Mkuu sio heshima kwa Mbowe KUKATALIWA kwenye Boksi la Kura. Ni aibu na fedheha.
Ndio maana watu wanamshauri aachane na mpango huo.

Hiyo ni aibu kubwa
 
Back
Top Bottom