Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #81
Mtu imara anapimwa kwenye vigezo gani? Kwa hapa taasisi ilipofikia unafikiri ilikosa uongozi imara. Taasisi imara ni ile yenye collective responsibility kwa uongozi mzima na sio kiongozi.
Ndio maana kuna kamati tendaji ambayo ndio inafanya maamuzi ya kiutendaji. Otherwise tuelezwe kuwa kamati tendaji haina viongozi imara.
Mkuu uimara wa CHADEMA kwa sasa upo wapi?
Kwa zamani inajulikana CHADEMA ilikuwa imara kwenye eneo la kukemea ufisadi, Rushwa na kupigania HAKI za Watanzania ambao wewe unauita uanaharakati.
Hata umaarufu wa CHADEMA ulijikita katika kitengo hicho.