Aliyemshauri Mbowe agombee alidhamiria kumdhalilisha na kukiua Chama

Aliyemshauri Mbowe agombee alidhamiria kumdhalilisha na kukiua Chama

Samahani,inaonekana upo kwa kazi maalumu! Kwani kuanzia hapa chini si mchezo! Angalia usiwe Condom!













Mwisho wa siku wewe bado mchanga kwenye:

propaganda

habari zilizotiwa chumvi sana au za uongo zitolewazo kwa lengo la kushawishi watu kuamini au kukubali jambo fulani


Wewe unayefuatilia hapa ndio uangalie usijekuwa toilet paper
 
So long as katiba inampa haki ya kugombea tena, hakuna A wala B inaongezeka. Nyie ndio mnakuja kusema "katiba ni kakijitabu tu", stick to the rules, sio hisia. Wanachama wa CDM wanachotakiwa kufanya ni kuweka katiba ambayo ina ukomo wa uongozi na madaraka, haya mengine ni kutaka kutupia lawama zisizo na msingi wowote kikakuni.

Mimi sijakataa.
Nafikiri kuna pointi yangu IPO mbele Sana hujaifikia ili kuiona.

Pointi ya HAKI yake ya kugombea IPO nyuma Sana, tumeshaipita
 
Kwema Kabisa!

Mbowe itampasa amkumbuke aliyemshauri aendelee kugombea.
Familia yake ilimshauri apumzike, kwa mujibu wa maelezo yake. Ni kwa sababu inampenda na kutaka heshima yake idumu.

Lakini kuna kundi jingine ambalo likamshauri vibaya agombee ili adhalilishwe, heshima yake kushuka, na chama kumfia Mikononi.

Embu fikiria Miaka zaidi ya 30 Mbowe amepigana kufa na kupona kujenga jina na heshima ya brand yake.

Leo hii Mbowe ni wakuitwa Nkurunzinza,
Leo hii Mbowe ni wakuitwa Ayatollah, kweli?

Haya Leo hii Yule Mbowe mwenye jina Kubwa anakuwa kama underground, au underdog kumkabili Lisu mtu aliyemlea Mwenyewe kisiasa? KWELI!

Leo hii Mbowe ni wakushindwa ushawishi kwenye jamii kwa zaidi ya asilimia 80% kila polls zikiitishwa. KWELI?

Heshima iliyojengwa kwa miaka nenda Rudi Leo inavurugika na kupotea kwa Siku chache tuu. Kisa uchaguzi?

Leo hii Mbowe ni wakukataliwa na Robo tatu ya Jamii Forum ambao ni mtandao wa ndani katika nchi yetu. Mtandao unaojitambulisha kama home of Great thinker. KWELI?

Nini kina thamani zaidi ya Heshima? Kitu gani hicho.
Kama ni pesa tayari Mbowe anazo. Nani alimshauri aiweke rehani Heshima yake.

Nani huyo aliyemshauri Mbowe ashindane na Wakati?
Tangu lini mtu akashindana na wakati akashinda zaidi ya kudhalilika na heshima yake kudondoka?

Mfalme Sauli naye heshima yake ilianguka, kwa kushindwa kutambua matumizi ya wakati.
Akawa anapambana na Daudi, kijana mdogo.
Heshima yake yote ikadondoka. Hata Yale mazuri yote aliyoyafanya Sauli Akiwa mfalme yakafutika.

Nawatakia siku njema
Huwa hawasomi kuelewa maandiko ya historia yanayotoa mafundisha

Huo mfano wa mfalme sauli na daudi ni muafaka kabisa

Mwamba asali ya mama Abdul imemtia upofu
 
Kwema Kabisa!

Mbowe itampasa amkumbuke aliyemshauri aendelee kugombea.
Familia yake ilimshauri apumzike, kwa mujibu wa maelezo yake. Ni kwa sababu inampenda na kutaka heshima yake idumu.

Lakini kuna kundi jingine ambalo likamshauri vibaya agombee ili adhalilishwe, heshima yake kushuka, na chama kumfia Mikononi.

Embu fikiria Miaka zaidi ya 30 Mbowe amepigana kufa na kupona kujenga jina na heshima ya brand yake.

Leo hii Mbowe ni wakuitwa Nkurunzinza,
Leo hii Mbowe ni wakuitwa Ayatollah, kweli?

Haya Leo hii Yule Mbowe mwenye jina Kubwa anakuwa kama underground, au underdog kumkabili Lisu mtu aliyemlea Mwenyewe kisiasa? KWELI!

Leo hii Mbowe ni wakushindwa ushawishi kwenye jamii kwa zaidi ya asilimia 80% kila polls zikiitishwa. KWELI?

Heshima iliyojengwa kwa miaka nenda Rudi Leo inavurugika na kupotea kwa Siku chache tuu. Kisa uchaguzi?

Leo hii Mbowe ni wakukataliwa na Robo tatu ya Jamii Forum ambao ni mtandao wa ndani katika nchi yetu. Mtandao unaojitambulisha kama home of Great thinker. KWELI?

Nini kina thamani zaidi ya Heshima? Kitu gani hicho.
Kama ni pesa tayari Mbowe anazo. Nani alimshauri aiweke rehani Heshima yake.

Nani huyo aliyemshauri Mbowe ashindane na Wakati?
Tangu lini mtu akashindana na wakati akashinda zaidi ya kudhalilika na heshima yake kudondoka?

Mfalme Sauli naye heshima yake ilianguka, kwa kushindwa kutambua matumizi ya wakati.
Akawa anapambana na Daudi, kijana mdogo.
Heshima yake yote ikadondoka. Hata Yale mazuri yote aliyoyafanya Sauli Akiwa mfalme yakafutika.

Nawatakia siku njema
nadhani dhamira ovu ya Tundu Lisu nchini, ni wazi kuisambaratisha chadema, na kuua upinzani kabisa nchini kwa manufaa ya mabwenyenye ya magharibi yanayombackup ili kujipenyeza kirahisi na kuvuruga amani, umoja na mshikamano wa waTanzania.

Tundu Lisu analenga Kufanya Tanzania kua kama DRC kwa maslahi binafsi na hayo mabwenyenye ya Magharibi yanayombackup. Ameona Taifa likigawanyika atapata fursa ya kujinufaisha kibinafsi,

Hata hivyo,
ameshabainika na kwakweli amechelewa sana na, kama taifa tumedhibiti vizuri nia yake hiyo ovu, na kwakweli hakuna kitu atafanya ndani ya chadema au nje ya chadema 🐒
 
Kwema Kabisa!

Mbowe itampasa amkumbuke aliyemshauri aendelee kugombea.
Familia yake ilimshauri apumzike, kwa mujibu wa maelezo yake. Ni kwa sababu inampenda na kutaka heshima yake idumu.

Lakini kuna kundi jingine ambalo likamshauri vibaya agombee ili adhalilishwe, heshima yake kushuka, na chama kumfia Mikononi.

Embu fikiria Miaka zaidi ya 30 Mbowe amepigana kufa na kupona kujenga jina na heshima ya brand yake.

Leo hii Mbowe ni wakuitwa Nkurunzinza,
Leo hii Mbowe ni wakuitwa Ayatollah, kweli?

Haya Leo hii Yule Mbowe mwenye jina Kubwa anakuwa kama underground, au underdog kumkabili Lisu mtu aliyemlea Mwenyewe kisiasa? KWELI!

Leo hii Mbowe ni wakushindwa ushawishi kwenye jamii kwa zaidi ya asilimia 80% kila polls zikiitishwa. KWELI?

Heshima iliyojengwa kwa miaka nenda Rudi Leo inavurugika na kupotea kwa Siku chache tuu. Kisa uchaguzi?

Leo hii Mbowe ni wakukataliwa na Robo tatu ya Jamii Forum ambao ni mtandao wa ndani katika nchi yetu. Mtandao unaojitambulisha kama home of Great thinker. KWELI?

Nini kina thamani zaidi ya Heshima? Kitu gani hicho.
Kama ni pesa tayari Mbowe anazo. Nani alimshauri aiweke rehani Heshima yake.

Nani huyo aliyemshauri Mbowe ashindane na Wakati?
Tangu lini mtu akashindana na wakati akashinda zaidi ya kudhalilika na heshima yake kudondoka?

Mfalme Sauli naye heshima yake ilianguka, kwa kushindwa kutambua matumizi ya wakati.
Akawa anapambana na Daudi, kijana mdogo.
Heshima yake yote ikadondoka. Hata Yale mazuri yote aliyoyafanya Sauli Akiwa mfalme yakafutika.

Nawatakia siku njema
Nakala iwafikie Retired Fundi Mchundo Yericko Nyerere Quinine
 
Laiti mimi ningekuwa mbowe,siku ambayo lissu anatangaza kugombea uenyekiti wa chama,ningemuunga mkono kuanzia siku hiyo wala nisingekuwa na mawazo ya kushindana naye kugombea tena uenyekiti....akili ni nywele jamani
 
Laiti mimi ningekuwa mbowe,siku ambayo lissu anatangaza kugombea uenyekiti wa chama,ningemuunga mkono kuanzia siku hiyo wala nisingekuwa na mawazo ya kushindana naye kugombea tena uenyekiti....akili ni nywele jamani
Shida si Mbowe na hajachelewa, hata leo kama yuko huru anaweza kutangaza kutogombea lakini shida ni wapambe, wapambe maslahi ambao bila Mbowe hawajui waende wapi.
 
Nani alimshauri lakini?
Hawa chawa wake akina Yericko Nyerere, Ntobi,Boniyai na wengineo ambao wala siyo wana mageuzi bali kuna personal gain wanapata kwa Mbowe kuwa Mwenyekiti. Ila hata yeye mwenyewe ana tatizo la prestige ya kuwa mwenyekiti other wise itakuwa ujinga mzee mzima kuyumbishwa na chawa.
 
Shida si Mbowe na hajachelewa, hata leo kama yuko huru anaweza kutangaza kutogombea lakini shida ni wapambe, wapambe maslahi ambao bila Mbowe hawajui waende wapi.
Machawa ni watu fulani hivi kama hujiongezi wanaweza kukuingiza chaka,ukishafeli wanapotea
 
Kwema Kabisa!

Mbowe itampasa amkumbuke aliyemshauri aendelee kugombea.
Familia yake ilimshauri apumzike, kwa mujibu wa maelezo yake. Ni kwa sababu inampenda na kutaka heshima yake idumu.

Lakini kuna kundi jingine ambalo likamshauri vibaya agombee ili adhalilishwe, heshima yake kushuka, na chama kumfia Mikononi.

Embu fikiria Miaka zaidi ya 30 Mbowe amepigana kufa na kupona kujenga jina na heshima ya brand yake.

Leo hii Mbowe ni wakuitwa Nkurunzinza,
Leo hii Mbowe ni wakuitwa Ayatollah, kweli?

Haya Leo hii Yule Mbowe mwenye jina Kubwa anakuwa kama underground, au underdog kumkabili Lisu mtu aliyemlea Mwenyewe kisiasa? KWELI!

Leo hii Mbowe ni wakushindwa ushawishi kwenye jamii kwa zaidi ya asilimia 80% kila polls zikiitishwa. KWELI?

Heshima iliyojengwa kwa miaka nenda Rudi Leo inavurugika na kupotea kwa Siku chache tuu. Kisa uchaguzi?

Leo hii Mbowe ni wakukataliwa na Robo tatu ya Jamii Forum ambao ni mtandao wa ndani katika nchi yetu. Mtandao unaojitambulisha kama home of Great thinker. KWELI?

Nini kina thamani zaidi ya Heshima? Kitu gani hicho.
Kama ni pesa tayari Mbowe anazo. Nani alimshauri aiweke rehani Heshima yake.

Nani huyo aliyemshauri Mbowe ashindane na Wakati?
Tangu lini mtu akashindana na wakati akashinda zaidi ya kudhalilika na heshima yake kudondoka?

Mfalme Sauli naye heshima yake ilianguka, kwa kushindwa kutambua matumizi ya wakati.
Akawa anapambana na Daudi, kijana mdogo.
Heshima yake yote ikadondoka. Hata Yale mazuri yote aliyoyafanya Sauli Akiwa mfalme yakafutika.

Nawatakia siku njema
Subiri tarehe 21 Januari ndipo tutaona atkayedharirika ni nani Mbowe au Lissu.

Chama cha siasa kupanda na kushuka ni kawaida hakuna umilele katika siasa.

Iko wapi MCP ya Malawi, UNIP ya Zambia, KANU ya Kenya? Vyote vilikuwa vyama tawala. Kuna wakati chama cha Erdoğan wa Uturuki hakikupata hata kiti kimoja katika uchaguzi lakini uchaguzi uliofuata kikashinda na mpaka leo kimekaa madarakani miongo miwili.

Mbowe hata hao wanaharakati wanaopokezana mitandaoni X, jf na kwingineko wanamshambulia kwa zamu wanajisumbua. Mimi sio msemaji wake ila Mbowe hatajitoa na kura zitapigwa, , atashinda kwa kishindo; Lissu atafukuzwa au akiwa smart atawahi kujiondoa na ndio itakuwa mwisho wake kisiasa,.

Hakuna chama hata hicho ACT kitakachokubali kumpokea Lissu na kumpa uongozi kwa haya aliyoyaonyesha kwa CHADEMA, salama yake aanzishe chama chake ili awe na conduit ya kula hela za vyama vya mashoga lakini kisiasa Lissu atafikia tamati kabla ya Mbowe.

Baada ya uchaguzi huu Mbowe atamuandaa mtu smart wa kumuachia uenyekiti uchaguzi wa 2029.
 
Mbowe amekuwa wa kuungwa mkono na vidampa wa Lumumba kama Lucas Mbwa Wa Shamba?

Ni maajabu makubwa.
 
Subiri tarehe 21 Januari ndipo tutaona atkayedharirika ni nani Mbowe au Lissu.

Chama cha siasa kupanda na kushuka ni kawaida hakuna umilele katika siasa.

Iko wapi MCP ya Malawi, UNIO ya Zambia, KANU ya Kenya? Vyote vilikuwa vyama tawala. Kuna wakati chama cha Erdoğan wa Uturuki hakikupata hata kiti kimoja katika uchaguzi lakini uchaguzi uljofuata kikashinda na mpaka leo kimekaa madarakani miongo miwili.

Mbowe hata hao wanaharakati wanaopokezana mitandaoni X, jf na kwingineko wanamshambulia kwa zamu wanajisumbua. Mimi sio msemaji wake ila Mbowe hatajitoa na kura zitapigwa, , atashinda kwa kishindo; Lissu atafukuzwa au akiwa smart atawahi kujiondoa na ndio itakuwa mwisho wake kisiasa,.

Hakuna chama hata hicho ACT kitakachokubali kumpokea Lissu na kumpa uongozi kwa haya aliyoyaonyesha kwa CHADEMA, salama yake aanzishe chama chake ili awe na conduit ya kula hela za vyama vya mashoga lakini kisiasa Lissu atafikia tamati kabla ya Mbowe.

Baada ya uchaguzi huu Mbowe atamuandaa mtu smart wa kumuachia uenyekiti uchaguzi wa 2029.

Wakati huo chama kitakuwa kama TLP hata akimuuandaa itasaidia nini?
 
Wanamuona sio tishio kwao.
Hivyo lazima waungane naye dhidi ya wanayemuona Tishio
Mkuu , ukweli usemwe nimepoteza imani na Mbowe nilipoona hadi makada wa CCM kama nina Kigwangala wanadeclare interest juu yake.

Ukiona adui yako anakusifia ni wakati wa kurudi nyuma na kutafakari lazima kuna mahali umepotea.

That is a very big red flag.
 
Back
Top Bottom