Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #61
nadhani dhamira ovu ya Tundu Lisu nchini, ni wazi kuisambaratisha chadema, na kuua upinzani kabisa nchini kwa manufaa ya mabwenyenye ya magharibi yanayombackup ili kujipenyeza kirahisi na kuvuruga amani, umoja na mshikamano wa waTanzania.
Tundu Lisu analenga Kufanya Tanzania kua kama DRC kwa maslahi binafsi na hayo mabwenyenye ya Magharibi yanayombackup. Ameona Taifa likigawanyika atapata fursa ya kujinufaisha kibinafsi,
Hata hivyo,
ameshabainika na kwakweli amechelewa sana na, kama taifa tumedhibiti vizuri nia yake hiyo ovu, na kwakweli hakuna kitu atafanya ndani ya chadema au nje ya chadema 🐒
Ikiwa Lisu dhamiri yake ni hiyo.
Mbowe suluhisho lake asingepaswa kuwania, Bali angempitisha mgombea mwingine mshindani wa Lisu, kisha Mbowe ajiunge naye