Aliyemshauri Rais Samia aseme yeye ni ‘Chura Kiziwi’ alimpotosha

Aliyemshauri Rais Samia aseme yeye ni ‘Chura Kiziwi’ alimpotosha

Kutokana na kauli hiyo leo Rais anachelea kuchukua hatua au kukemea maovu yanayofanywa na wasaidizi wake ili asionekane hana msimamo kwenye matamshi yake kuwa ‘Yeye ni Chura Kiziwi’.

Kwa kutokukemea kwake na kutochukua hatua inaonekana yote yanayotendeka yana baraka zake.

Kuwa, yeye ndiye anayewatuma polisi kuwatesa wananchi, kuwateka, kuwabaka na kuwaua, yeye ndiye anayeuza raslimali za taifa zikiwemo Bandari, kuwa yeye ndiye yuko nyuma ya mgogoro wa wamasai, yeye yuko nyuma ya wafanyabiashara kuonewa na TRA nk.

Kwa kifupi kila uchafu unaofanywa na wasaidizi wake ikiwemo kuvunja sheria na katiba waziwazi kuwa yeye huwa anabariki.

Matokeo ya kuwa Chura Kiziwi ni nini, ni kuchochea hasira za wananchi kwake binafsi na familia yake kwa vile wananchi wataona hata waliyedhani atakuwa mfariji wao mkuu hawasikilizi. Waliomshauri wao wanachekea chooni.

Sijui hasa lengo la waliomshauri kutowasikiliza wananchi (siasa ni mchezo mchafu), hili litaipa CCM wakati mgumu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na hata yeye binafsi kama ataamua kugombea 2025, hata kama waliomuingiza ‘Chaka’ wanamfariji kwa kumwambia asijali ‘matokeo ya uchaguzi tuachie sisi’.

Mjini Akili Hakuna Shamba.
Hana uwezo binafsi kiakili. Navishangaa vyuo vikuu vinavyompa PhD hata kama ni za heshima. Hastahili. Rejea MATOKEO yake ya Form 4. Ni aibu mtu aliyepata Division 4 yenye points zinazokaribia kupata Division 0 eti anakuwa Rais wa nchi na kuzawadiwa PhDs za heshima kibao!!! Hebu tuwe serious kidogo. Huyu mtu hana uwezo binafsi wa kuongoza nchi.
 
We jamaa acha ujinga yahn mtu atamke mwenyewe kwa mdomo wake useme ameshauriwa kubalini huyu mama yenu uwezo wake wa kuongoza nchi ni mdogo.
 
Kutokana na kauli hiyo leo Rais anachelea kuchukua hatua au kukemea maovu yanayofanywa na wasaidizi wake ili asionekane hana msimamo kwenye matamshi yake kuwa ‘Yeye ni Chura Kiziwi’.

Kwa kutokukemea kwake na kutochukua hatua inaonekana yote yanayotendeka yana baraka zake.

Kuwa, yeye ndiye anayewatuma polisi kuwatesa wananchi, kuwateka, kuwabaka na kuwaua, yeye ndiye anayeuza raslimali za taifa zikiwemo Bandari, kuwa yeye ndiye yuko nyuma ya mgogoro wa wamasai, yeye yuko nyuma ya wafanyabiashara kuonewa na TRA nk.

Kwa kifupi kila uchafu unaofanywa na wasaidizi wake ikiwemo kuvunja sheria na katiba waziwazi kuwa yeye huwa anabariki.

Matokeo ya kuwa Chura Kiziwi ni nini, ni kuchochea hasira za wananchi kwake binafsi na familia yake kwa vile wananchi wataona hata waliyedhani atakuwa mfariji wao mkuu hawasikilizi. Waliomshauri wao wanachekea chooni.

Sijui hasa lengo la waliomshauri kutowasikiliza wananchi (siasa ni mchezo mchafu), hili litaipa CCM wakati mgumu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na hata yeye binafsi kama ataamua kugombea 2025, hata kama waliomuingiza ‘Chaka’ wanamfariji kwa kumwambia asijali ‘matokeo ya uchaguzi tuachie sisi’.

Mjini Akili Hakuna Shamba.
Adabu mbovu kabisa....

Yaani hata maneno mdomoni mwake tumpangie sisi raia wa huku kwa Manjunju ?!!!!

Havoc

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hana uwezo binafsi kiakili. Navishangaa vyuo vikuu vinavyompa PhD hata kama ni za heshima. Hastahili. Rejea MATOKEO yake ya Form 4. Ni aibu mtu aliyepata Division 4 yenye points zinazokaribia kupata Division 0 eti anakuwa Rais wa nchi na kuzawadiwa PhDs za heshima kibao!!! Hebu tuwe serious kidogo. Huyu mtu hana uwezo binafsi wa kuongoza nchi.
Urais si Phd...

Urais si hizo "akili nyingi" usemazo...

Wenye hayo usemayo wanafundisha VYUO VIKUU...

Mh.Rais George Bush alishawahi kusema kuwa yeye alikuwa "ordinary student"....lakini akawa ni rais wa nchi.....

Leo mtu analisimamia taifa baada ya KUSIMAMISHWA AWE HAPO kwa historia yake unasema hana uwezo ?!![emoji44]

Amekuwa mwenyekiti wa "NGO's" huko Zanzibar....leo unasema ana uwezo hafifu?!!![emoji44]

Havoc

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mwenye ako na picha ya chura kiziwi aiweke hapa tafadhali
1724309369318.png
 
Adabu mbovu kabisa....

Yaani hata maneno mdomoni mwake tumpangie sisi raia wa huku kwa Manjunju ?!!!!

Havoc

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hujui Rais ana washauri kwenye fani mbalimbali za uchumi siasa nk, sasa waliomshauri asisikilize wanaomkosoa ndio waliokosea yeye akaubeba mzima mzima mimi Chura Kiziwi.
 
Back
Top Bottom