Archnemesis 2-0
JF-Expert Member
- Aug 25, 2024
- 815
- 1,558
Aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesoma kichwa cha habari mkuu?Jamaa lina wivu wa kisenge, acha likaozee segerea...atatoka 2050 msamaha wa Rais wa wakati huo - dadeq.
Ndoa taamu, inategemea wewe unaichukuliaje.KATAA NDOA, kama wewe bado ni kijana
Ukatili? Are you serious?Unachokisema ni ukatili, hata kunyonga kuna sheria zake. Mhusika asiumie sana🤣
Tanzania hatunyongi...huyo atakufwa dusco dusco.Umesoma kichwa cha habari mkuu?
Kuna majambazi hawaui mkuu,u should just ask me, "are you a killer?"😡We jambazi nini
DahMtu kama hakutaki muache aendelee na maisha yake na wewe pambana na hali yako kuliko kuua.View attachment 3250391
Are you a killerKuna majambazi hawaui mkuu,u should just ask me, "are you a killer?"😡
Kwa kijana mambo huwa tofautiNdoa taamu, inategemea wewe unaichukuliaje.
Mbona Jamaa alishawaambia muda Sana wamhukumu?! Why wamechelewesha?#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam leo Februari 26,2025 imeanza kusoma hukumu ya kesi ya mauaji, inayomkabili Mfanyabiashara Khamis Luwonga (38), anayetuhumiwa kumuua mkewe Naomi Marijani na kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa.
Katika kesi hiyo ya mauaji namba nne ya mwaka 2019, mshtakiwa Luwonga ambaye ni Mkazi wa Kigamboni, Dar es Salaam anadaiwa Mei 15, 2019 akiwa Gezaulole eneo la Kigamboni alimuua Naomi Marijani.
#Follow @radioonetanzania
Hachomoki 😭😭#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam leo Februari 26,2025 imeanza kusoma hukumu ya kesi ya mauaji, inayomkabili Mfanyabiashara Khamis Luwonga (38), anayetuhumiwa kumuua mkewe Naomi Marijani na kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa.
Katika kesi hiyo ya mauaji namba nne ya mwaka 2019, mshtakiwa Luwonga ambaye ni Mkazi wa Kigamboni, Dar es Salaam anadaiwa Mei 15, 2019 akiwa Gezaulole eneo la Kigamboni alimuua Naomi Marijani.
#Follow @radioonetanzania
Ndoa za siku hizi zina changamoto kubwa sana kupita kiasi.Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam leo Februari 26,2025 imeanza kusoma hukumu ya kesi ya mauaji, inayomkabili Mfanyabiashara Khamis Luwonga (38), anayetuhumiwa kumuua mkewe Naomi Marijani na kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa.
Katika kesi hiyo ya mauaji namba nne ya mwaka 2019, mshtakiwa Luwonga ambaye ni Mkazi wa Kigamboni, Dar es Salaam anadaiwa Mei 15, 2019 akiwa Gezaulole eneo la Kigamboni alimuua Naomi Marijani.
=======
Kijana Khamis Luwonga (45) maarufu Meshack aliyekuwa akikabiliwa na shtaka la kumuua mke wake, Naomi Marijani na kisha kuuchoma mwili wake kwa kutumia magunia mawili ya mkaa amehukumiwa kunyongwa hadi kufa.
Hukumu hiyo imetolewa leo Februari 26,2025 na Jaji Hamidu Mwanga wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, baada ya kuridhika na ushahidi uliotolewa na mashahidi 14 wa upande wa Jamhuri ambao wameweza kuthibitisha pasipo kuacha shaka kuwa mtuhumiwa ametenda kosa hilo.
Luwonga alimuua mkewe Naomi na kisha kuuchoma moto mwili wake kwa kutumia magunia mawili ya mkaa nyumbani kwao eneo la Gezaulole, wilayani Kigamboni, Dar es Salaam Mei 15, 2019.
Baada ya kuuchoma mwili huo ndani ya banda la kuku, alienda kuzika masalia ya mwili huo na majivu shambani kwake na kupanda migomba juu yake.
TBC
Nyooo...hamna hela inauma sana jamaa bora alimchoma moto tuu.Mtu kama hakutaki muache aendelee na maisha yake na wewe pambana na hali yako kuliko kuua.View attachment 3250391
Kwanza anyongwi ni kifungo cha maisha.Kama ananyongwa wanakosea....huyo wangemuua taratibu....kata vidole,kata nyayo,kata limguu...hapo siyo muda huohuo...mnampa muda wa kuugulia...kazi itaishia atakapokata roho🤒
Kabisa wivu wa kipumbavu sana, unakuta alifumania sms tu.Jamaa lina wivu wa kisenge, acha likaozee segerea...atatoka 2050 msamaha wa Rais wa wakati huo - dadeq.