Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa

Mbona Jamaa alishawaambia muda Sana wamhukumu?! Why wamechelewesha?
 
Hachomoki 😭😭
 
Jamaa alikuwa bado hajakomaa kima penzi... Mimi naulinda wangu moyo. Simuamini hata mkewangu najua muda wowote ananisaliti huko njee. Maana na mimi huwa namsaliti maana shetani yupo hai..

Nime seti hivyo akili yangu bila kujali ni kweli au si kweli. Ni uchizi kiwango cha PhD kuamini mke wako ni wako peke yako. Hasa kiwa na wewe hutoka na wake za watu. hivyo sina muda wa kumfuatilia. Na ukitaka mwanamke akudharau basi aijue akili yako juu yake..

Itoshe kuamini kumpuuzia mkeo ndiyo maana yake siyo ujinga bali ni ukomavu.. Wa Hisia... Zako.
 
Ndoa za siku hizi zina changamoto kubwa sana kupita kiasi.
Hapo ndipo wale Watu wa Kampeni ya Kataa Ndoa wanapokuwa na Hoja zenye mashiko na ndipo wanapopata Wafuasi wengi sana wa kuwaunga mkono.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…