Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa

Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa

Tate Mkuu babu soma kisa hiki.
Kuna vitu vingi sana nimejifunza kwenye hii kesi ya mauaji na huenda ikawa na faida kwa wengi;
1. Ni kosa kubwa kwa mwanaume kukubali sharti la mwanamke la kubadili dini ili muoane. Hapa lazima utanyanyasika tu siku za usoni. Maana umemuonesha kuwa unampenda sana, jambo ambalo mwanamke hatakiwi kuoneshwa! Kwa sababu mara nyingi hulitumia kama silaha ya kukunyanyasa.
2. Ni kosa kubwa sana kuoana na mtu ambaye mna tofauti nyingi kati yenu. Yaani hamuendani kuanzia muonekano, umri, elimu, mtazamo, mahusiano, tabia, maisha, fikra, nk.
3. Maisha ya ndoa yanahitaji uvumilivu. Ila usipitilize. Na hapa ndipo wenzetu Wazungu wanapotuzidi. Wenyewe wakiona mambo yamekuwa ni magumu, wanaachana. Ila sisi tunalazimisha, na mwisho wa siku matokeo yake ndiyo haya.

All in all, namsikitikia sana huyu jamaa. Kwa muonekano wake tu utamgundua amepitia matatizo mengi sana ya kisaikolojia kutokana tu na ndoa yao kukosa uaminifu, furaha, amani, upendo na mshikamano.

Na inahuzunisha zaidi maisha yao wote wawili yameharibika kwa sababu tu ya ubinafsi wao! Inahuzunisha zaidi na zaidi kwa mtoto Gracious ambaye amempoteza mama yake, huku na baba yake naye akiishia jela. Kwa kweli inaumiza na kuhuzunisha san mjukuu wangu! ☹️
 
Hata kama alikuwa mchepukaji maarufu sana na aliyekubuhu, bado haihalalishi kumuua. Si umwache kama ulivyomkuta? Shida iko wapi.
Mi nadhani jamaa alikusudia kumwadabisha mkewe kwa kiasi fulani lakini ndo akajikuta ametoa Overdose. Katika harakati za kutaka kupoteza ushahidi akaona kuuchoma mwili ingekuwa njia bora zaidi. Lakini hatimaye uovu wake ulibainika.
Comment yangu imejielekeza katika mtizamo wangu juu ya huyu mama kwamba alikuwa mchepukaji na si kuharalisha au kukubaliana na hayo alòfanyiwa......paragraph zinazofuata dhahania zako zinaelekeana na ukweli wa nini kilichofanyika.
 
Kuna vitu vingi sana nimejifunza kwenye hii kesi ya mauaji na huenda ikawa na faida kwa wengi;
1. Ni kosa kubwa kwa mwanaume kukubali sharti la mwanamke la kubadili dini ili muoane. Hapa lazima utanyanyasika tu siku za usoni. Maana umemuonesha kuwa unampenda sana, jambo ambalo mwanamke hatakiwi kuoneshwa! Kwa sababu mara nyingi hulitumia kama silaha ya kukunyanyasa.
2. Ni kosa kubwa sana kuoana na mtu ambaye mna tofauti nyingi kati yenu. Yaani hamuendani kuanzia muonekano, umri, elimu, mtazamo, mahusiano, tabia, maisha, fikra, nk.
3. Maisha ya ndoa yanahitaji uvumilivu. Ila usipitilize. Na hapa ndipo wenzetu Wazungu wanapotuzidi. Wenyewe wakiona mambo yamekuwa ni magumu, wanaachana. Ila sisi tunalazimisha, na mwisho wa siku matokeo yake ndiyo haya.

All in all, namsikitikia sana huyu jamaa. Kwa muonekano wake tu utamgundua amepitia matatizo mengi sana ya kisaikolojia kutokana tu na ndoa yao kukosa uaminifu, furaha, amani, upendo na mshikamano.

Na inahuzunisha zaidi maisha yao wote wawili yameharibika kwa sababu tu ya ubinafsi wao! Inahuzunisha zaidi na zaidi kwa mtoto Gracious ambaye amempoteza mama yake, huku na baba yake naye akiishia jela. Kwa kweli inaumiza na kuhuzunisha san mjukuu wangu! ☹️
Mimi nilichojifunza kama mtu hakutaki MUACHE!!!
 
Jamaa lina wivu wa kisenge, acha likaozee segerea...atatoka 2050 msamaha wa Rais wa wakati huo - dadeq.
Leo mnamkana role model wenu. Nyie si mnasemaga mwanamke akicheat auliwe kabisa.? Mnapaswa kumpongeza mwamba
 
Uyu jamaa SI naskia aliachiwa baada ya milembe kusema Hakua na akili nzuri kipind anamchoma mkewe na gunia 2
 
Tujifunze mpenzi kama akikuchoka na kuanza visa achana nae aendelee na alipochagua kwingine wewe haukuzaliwa nae endelea na maisha yako
Ukishajua kwamba maisha yako yanathamani sana na hakuna anayeweze kukamilisha furaha yako isipokuwa wewe, hutakaa uhangaike na sijui kusumbuka na walimwengu hasahasa mapenzi. Utakuwa mwepesi wa kuacha waende. Unahangaika na mtu mpaka unaua si uchizi huo.
 
Kwa stori yao niliyowahi kuisoma humu ikisimuliwa na majirani zao kipindi kile mwamba kasema hajutii na yupo tayari kwa hukumu yoyote hata ya kifo (nadhani ni mwaka jana mwanzoni au mwaka juzi), kuna watu humu hasa wanaomshangaa jamaa kwenye comments zao wangekuwa wao wangetumia hata gunia kumi za mkaa.

Wajomba lazima tukubaliane kuna wanawake wanazingua sana, na si kila mmoja ana moyo mgumu wa kuvumilia na kupotezea.

KATAA NDOA.
Kama huna moyo wa kuvumilia au una moyo mwepesi ni bora usioe au kuolewa au uwe single tu. Maana utaishia jela tu .
 
Mambo tunasema kila siku.

1.Uwe na hela na uwe na maisha mazuri kuna mtu wako wa karibu anatamani maisha ya hovyo hovyo tena.Utawaza walitafuta pesa na kujipata ili iweje?
Mwisho uje kuwa huo?

-Kosa amebadili dini,tayari akili ilihama hapo muda sana.

-Nimebadili dini then ananiletea mambo haya kweli?

-Hakuna washauri wazuri wenye Hekima hapo katikati,lazima magunia yanahusika.

-Wazazi na jamii zetu zinaona kabisa red flags za kutosha ila tunafanya kuziba masikio na macho,kuwa ya wanandoa hayatuhusu.

-Familia zifike hatua tuache unafiki mambo yatatuliwe kwa macho makuu ni si kwa upendeleo.

-Wanaume pia wanapitia mateso makali sana ya kihisia,japo wanaminishwa hawatakiwi kusema.

-Kwa sasa kuna hawa wanasaikolojia sijui wa ndoa,unasikia kabisa,Mwanaume kama Mungu hajakuonea Huruma,ujue mke hawezi kukuonea huruma(Sijui kinachofundishwa zaidi)

Watu wanakuwa kwenye matatizo mengi sana,msipoelezana mapema kwenye mahusiano ni ngumu kudumu huko mbeleni.
 
images (2).jpeg
 
Back
Top Bottom