Aliyemuua, kumtupa mwanafunzi UDOM ahukumiwa kunyongwa

Ni kweli kabisa mzee wangu ..

Ninaishi karibu na hostel za chuo wanachofanyiwa watoto wa chuo ni mungu ndio anajua.

Lakini asilimia kubwa ya watoto wa kike wanaofanyiwa hivyo ni wale ambao wanaokuwa na tamaa za ajabu ajabu.

Mtoto wa kike anataka Kila weekend aende movie , Kila wiki akasuke nywele za laki 3. Kila simu mpya ikitoka anataka awe nayo. Hawa wanapitia magumu mno .
 
E1¹
wapelelezi walikuwa wanaunganisha dots za matukio, kuanzia kwenye ukataji wa tiketi, tiketi kukutwa chumbani kwa mtuhumiwa na sms zilizokutwa kwenye simu ya mtuhumiwa

Police wakiamua kufanya kazi wanakukamata. Maana wana technology zote za kuku track.

Sema kesi za kipuuzi puuzi wanaaamua kula rushwa tu na kuachana nazo.

Ukitaka kujua balaa la police wetu kwenye technology fanya mauaji ya mtu maarufu. Ama iba hela nyingii sehemu.


Hii kumkamata huyu muuaji mbona cha mtoto fuatilia wauaji wa bilionea msuya wa arusha walivyopatikana.


Ama wale wauaji wa mzungu wa agency ya kulinda tembo
 

Mimi kwetu tunafanya biashara ya private hostel za wanachuo.

Tuna hostel ubungo karibu na mabibo hostel wanaishi wanafunzi wa udsm

Tuna hostel kigamboni kwa urassa wanaishi wanafunzi wa ifm na mwalimu nyerere..

Tuna hostel kurasini wanaishi wanafunzi wa TIA na Diplomasia

Hizo hostel zote wanaishi wanafunzi wa kike tupu.

Kutokana na kuwasimamia kama wateja nimejua tabia zao ,Mabinti wote wa chuo tabia zao zinafanana fanana..

Hata kama hana tamaa wala haendi club ni lazima agongwe. Nyege zao hawawezi kuzizuia kipindi wapo vyuoni
 
Ana nafasi ya kushinda kama atakata rufaa.
 
Jamaa akaenda mpaka Kanisani kwenye misa ya kuaga eti..

Damu ya mtu hunuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti nilimpiga na kiwiko jichoni "ALIUMIA"😳😳Psycho.
Yap,psycho,alimpiga akamuua,hapo alikuwa anatoa justification ya jeraha alilokutwa nalo marehemu,na mama yake ni accomplice kwenye hii kesi,sijui kwanini kaachwa.
 
Haya yule kafa huyu ananyongwa, huyo mama mzazi wa kijana naye ilikuwaje asaidie kusukuma mwili garini bila kujua ni nini kimempata dada wa watu.

Corrupt family.

Poleni wote kwa shida hii kubwa
 
Police wetu wako vizuri sana Kama wakiamua kufanya kazi yao kweli na huchomoki!!
 
Kajifunga mwenyewe, alitakiwa asiwe na kiherehere.Au ndo damu ya mtu ni nzito hadi akajikuta anaongea mwenyewe A to Z.Maana kesi haikuwa na mashahidi.Na alitiliwa mashaka baada ya yeye mwenyewe kuongea where abouts za Happy siku alivyopotea. ANGEKAA KIMYA MPAKA LEO ANGEKUWA TU MTAANI ANADUNDA .
 
Jamaa anataka awe na mpenzi wake peke yake miaka hii?

Ila kama manzi alipokea simu ya mpenzi wake mwingine mbele ya mshikaji alizingua japo si suala la kufikia kuuana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…