Aliyemuua mhudumu wa guest house aitwaye Gema Haule akamatwa Songea

Aliyemuua mhudumu wa guest house aitwaye Gema Haule akamatwa Songea

Notorious thug

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2021
Posts
2,817
Reaction score
10,667
Gema Haule(23) aliyekuwa mhudumu wa gesti house inayoitwa Peace house iliyopo manispaa ya Songea mkoani Ruvuma aliuawa na mteja aliyekua anadaiwa elfu hamsini[50,000/=] za malipo ya siku tano alizokaa gesti kwa kumnyonga na kamba ya viatu hadi kufa hatimaye muuuaji amekamatwa.

Pia soma Songea: Mhudumu wa Guest House anyongwa na mteja aliyekodi chumba kwa siku 5 na kushindwa kulipa gharama (20/01/2022)

Muuaji huyo baada ya kutekeleza mauaji hayo alichukua vitu vyake na kuchukua bodaboda aliyempeleka hadi mtaa wa majengo manispaa ya Songea na alimpa yule bodaboda funguo ya gesti airudishe pale gesti bodaboda yule alirudisha funguo gesti akakutana na umati mkubwa wa watu na polisi alirudisha funguo na kukamatwa na polisi palepale baada ya kuhojiwa polisi waliondoka hadi mtaa wa Majengo na kuweka mtego na hatimaye kumkamata mtuhumiwa.

Bodaboda ameachiwa huru baada ya polisi kujiridhisha hakuhusika na tukio lile. RIP Gema Haule ulale mahali pema.
 
Siku jamani kuua ni kama kukanyaga sisimizi eee [emoji24][emoji24][emoji24] mtu akijisikia tu ananyonga mwenzie uwiii eee MUNGU tukumbuke waja wako!
 
Gema Haule(23) aliyekua mhudumu wa gesti house inayoitwa Peace house iliyopo manispaa ya Songea mkoani Ruvuma aliuawa na mteja aliyekua anadaiwa elfu hamsini[50,000/=] za malipo ya siku tano alizokaa gesti kwa kumnyonga na kamba ya viatu hadi kufa hatimaye muuuaji amekamatwa. Muuaji huyo baada ya kutekeleza mauaji hayo alichukua vitu vyake na kuchukua bodaboda aliyempeleka hadi mtaa wa majengo manispaa ya Songea na alimpa yule bodaboda funguo ya gesti airudishe pale gesti bodaboda yule alirudisha funguo gesti akakutana na umati mkubwa wa watu na polisi alirudisha funguo na kukamatwa na polisi palepale baada ya kuhojiwa polisi waliondoka hadi mtaa wa Majengo na kuweka mtego na hatimaye kumkamata mtuhumiwa. Bodaboda ameachiwa huru baada ya polisi kujiridhisha hakuhusika na tukio lile. R.i.p Gema Haule ulale mahali pema.
[/QU
ZALI LA MENTALI kwa Bodaboda
 
Back
Top Bottom