FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Tubuni, acheni maswali, na lile bwawa limalizeni haraka Ili kumpooza kidogo
Tutubu nini sasa? Na huyo Mwendazake anahusika nn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutubu nini sasa? Na huyo Mwendazake anahusika nn?
Hivi ni kwanini wauwaji hawawezi kujificha/ kutoroka jumla?! Huwa wanakamatwa kizembe mno
Hivi tundu lisu ni muhimu sana kuliko watanzania wote mbona mnamtaja taja ili hali kuna watanzania wanauawa hamuwaongeleiRIP Gema...
Ila waliojaribu kumuua Lissu mpaka leo kimya!
Ila wenye chuki na jpm mnajitahidi kila namna kumzushia magufuli tuhuma zote hadi mdaa amelalaVifo vilikuwepo,sema vilikuwa havilipotiwi kwa sana. Tuna uhuru kiasi fulani cha kujieleza.
Damu ya mtu ni nzito kuliko maji, huwezi kuua halafu usikamatwe.Yaani kama ulivyosimulia ni sahihi, naona kabisa muuaji avyokamatwa kama kuku wa kuchinjwa siku ya sikukuu...
Damu ya mtu aliyeuawa hulia hadi kwa MUNGU, rejea Mwanzo 4:10 , Hivyo kudakwa ni nje nje.Hivi ni kwanini wauwaji hawawezi kujificha/ kutoroka jumla?! Huwa wanakamatwa kizembe mno
Damu ya mtu inalia! Muuaji hawezi kuwa na amani.Hivi ni kwanini wauwaji hawawezi kujificha/ kutoroka jumla?! Huwa wanakamatwa kizembe mno
Mbona aliyeua sio mama ni mwanaume?Mama anaifanyaje nchi!
eehe anaisuka vizuriii.
Mimi nachukia wasiponyongwa maana wanakula Kodi zetu maisha yao yaliyobaki huko gerezani.Hawatoweza wengi si wazoefu na mipango wanaiandaa wakiwa na hasira na kkurupuka ila mm nafurahi wauaji wakikamatwa
Hata waliomkanyagakanyaga mwenyekiti mbowe Hadi leo kimya.RIP Gema...
Ila waliojaribu kumuua Lissu mpaka leo kimya!
Kumuua mtu kama hujazoea sio kitu rahisi , utaji-race tu ... unaona huyo kulikua na sababu gani ya kurudisha funguo tena kwa kumpa mtu ambaye ameshakunakiri sura yako,?Hivi ni kwanini wauwaji hawawezi kujificha/ kutoroka jumla?! Huwa wanakamatwa kizembe mno
InashangazaKumuua mtu kama hujazoea sio kitu rahisi , utaji-race tu ... unaona huyo kulikua na sababu gani ya kurudisha funguo tena kwa kumpa mtu ambaye ameshakunakiri sura yako,?
Haujakatazwa kuwaulizia hao Watanzania wengineHivi tundu lisu ni muhimu sana kuliko watanzania wote mbona mnamtaja taja ili hali kuna watanzania wanauawa hamuwaongelei
Asante Zuwena wee acha tu iyo Trauma niliyopitia namuachia Mungu. Nashukuru yote yamepita ni kusonga mbele tu.Pole sana Bodaboda Uliingizwa kwenye Matatizo usiyo yajua
na Kama kuna watu wabaya mtaani kwenu ndio walisha Tunga yakwao juu yako