TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,763
- 11,873
Nadhani hii inathibitisha ile nadharia kuwa Damu ya mtu humfanya muuaji achanganyikiwe flani hivi...Et unafanya mauaji alafu unampa boda funguo arudishe eneo la tukio ukitegemea hutokamatwa, sijui ni akili za wapi hizi!