covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
We huko umeenda mbali yaani kauwa kisa anadaiwa elfu hamsini Tena malazi ya siku tano ..Et unafanya mauaji alafu unampa boda funguo arudishe eneo la tukio ukitegemea hutokamatwa, sijui ni akili za wapi hizi!
Hana akili sawa huyo mtu apimwe.