Pascal_TZA
Member
- Mar 25, 2014
- 27
- 76
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam leo February 26,2025 imemhukumu kunyongwa hadi kufa Mfanyabiashara Khamis Luwonga (38) kwa kumuua Mkewe Naomi Marijani na kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa
Katika kesi ya jinai namba 44/2023 mfanyabiashara huyo mkazi wa Gezaulole, wilayani Kigamboni, Dar es Salaam anadaiwa kumuua mkewe Naomi Marijani kinyume cha kifungu cha 196 na 197 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, kama ilivyorejewa mwaka 2019.
Pia soma Mahakamani: Aliyemchoma mkewe kwa magunia mawili ya mkaa anatajwa kuwa mlemavu wa akili
Anadaiwa kutenda kosa hilo Mei 15, 2019 nyumbani kwao kisha akauchoma mwili kwa kutumia magunia mawili ya mkaa ndani ya banda la kuku. Inadaiwa masalia ya mwili na majivu alikwenda kuyazika shambani na kupanda migomba juu yake.
View: https://youtu.be/ydRPqeEjo68?si=Qn2ebxb1IO-8N9-z
Katika kesi ya jinai namba 44/2023 mfanyabiashara huyo mkazi wa Gezaulole, wilayani Kigamboni, Dar es Salaam anadaiwa kumuua mkewe Naomi Marijani kinyume cha kifungu cha 196 na 197 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, kama ilivyorejewa mwaka 2019.
Pia soma Mahakamani: Aliyemchoma mkewe kwa magunia mawili ya mkaa anatajwa kuwa mlemavu wa akili
Anadaiwa kutenda kosa hilo Mei 15, 2019 nyumbani kwao kisha akauchoma mwili kwa kutumia magunia mawili ya mkaa ndani ya banda la kuku. Inadaiwa masalia ya mwili na majivu alikwenda kuyazika shambani na kupanda migomba juu yake.
View: https://youtu.be/ydRPqeEjo68?si=Qn2ebxb1IO-8N9-z